Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Hakuna aliye msafi huko mbogamboga wanachojali ni kuyajaza matumbo yao na kuwapatia ajira ndugu zao.Haya makundi ndani ya CCM hayana faida kwa mustakabali wa Taifa, kila anayeingia anasimanga uongozi uliomtangulia, hichi ni chama au genge la wahuni wanaoshindana kula mali za Nchi?
Fanyeni kazi muache kutafutana uchawi.