Mama Salma Upo?
Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,280 4,471 Feb 27, 2008 #2 Dar Es Salaam said: Click to expand... hahahah uchokozi huu!! unataka kutuambia nini hapo Dar ES?
Injinia JF-Expert Member Feb 26, 2008 849 26 Feb 27, 2008 #3 mbona mi sioni km ni lolote kwa Salma? Too much make up...wawekwe pamoja,wote bila makeup tuone...he he! Aise mbona JK anaonekana kachoka?
mbona mi sioni km ni lolote kwa Salma? Too much make up...wawekwe pamoja,wote bila makeup tuone...he he! Aise mbona JK anaonekana kachoka?
H Hauxtable JF-Expert Member Nov 5, 2007 386 17 Feb 27, 2008 #4 Dar Es Salaam said: Click to expand... Ohhh!!,So What???-sorry i don't get it!!!
N Nyerererist JF-Expert Member Oct 1, 2007 438 5 Feb 28, 2008 #5 ebwana taratibu ndugu mjumbe maana watoto na mzee ni member wa JF usije ukaleta matatizo kwenye jumba letu la vilaza (Ikulu)
ebwana taratibu ndugu mjumbe maana watoto na mzee ni member wa JF usije ukaleta matatizo kwenye jumba letu la vilaza (Ikulu)
F FDR Jr JF-Expert Member Aug 9, 2007 249 8 Feb 28, 2008 #6 Mlitaka Asimame Na Shetani Au? Jk Is Handsome Na Wajibu Kwa Kila Demu Atkayesimama Naye Ajisikie Huru Na Mwenye Bahati,ila Salma Ni Zaidi . Uko Juu Muungwana
Mlitaka Asimame Na Shetani Au? Jk Is Handsome Na Wajibu Kwa Kila Demu Atkayesimama Naye Ajisikie Huru Na Mwenye Bahati,ila Salma Ni Zaidi . Uko Juu Muungwana
Superman JF-Expert Member Mar 31, 2007 5,696 1,685 Feb 28, 2008 #7 Dar Es Salaam said: Click to expand... Quizz: Wale wataalamu wa Sanaa, mnaweza mkatupa maelezo ya ziada kama picha ingekuwa fully ingekuwaje? Mikonoz iko wapi? Miguu vipi, nk nayo iko vipi? nk. Lakini msinitaje . . . . . Aweeee mama weee ingekuwa wewe ungefanyaje . . . . aweee mama weee ungekuwa wewe ungefanyaje . .
Dar Es Salaam said: Click to expand... Quizz: Wale wataalamu wa Sanaa, mnaweza mkatupa maelezo ya ziada kama picha ingekuwa fully ingekuwaje? Mikonoz iko wapi? Miguu vipi, nk nayo iko vipi? nk. Lakini msinitaje . . . . . Aweeee mama weee ingekuwa wewe ungefanyaje . . . . aweee mama weee ungekuwa wewe ungefanyaje . .