BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Nyinyi watu mnapiga sana kelele, lakini watanzania ni viumbe wa ajabu sana!!! Hata wakisikia na kushuhudia wanavyoibiwa, ni waoga tu. WEZI WETU hawana wasiwasi katu!! Mama endelea kutafuna vya mabwege.., usitie shaka. Nenepa mama!!! Hahahahaaaaa!:confused2:
Watu wangapi?wewe ni mkongo? Akili za ovyoo kwenye jambo muhimu!