GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Naomba tufanye tafakuri tunduizi ( critical thinking ) kabisa juu ya hii Kauli ' Tata 'kabisa ambayo Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu na Nne Mama Salma Kikwete aliisema / aliitoa katika Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike duniani wiki iliyoisha.
Mama Salma Kikwete ( ambaye sasa ni Mheshimiwa Mbunge wa Kuteuliwa pia ) aliwaambia Mabinti Tanzania nzima kuwa ' Wajitahidi kubana Mapaja yao ' dhidi ya wale ambao wanapenda ' Kuyapanua ' kwani hao ' Wapanuaji ' wa hayo ' Mapaja ' yao huwa hawana nia nzuri na njema Kwao.
Katika Headline yangu hapo juu nimeuliza kwamba je Mama Salma Kikwete kabla ya kutamka hiyo ' Kauli ' yake alifikiria mara mbili mbili kwa kuzingatia hasa tabia au mienendo ya Watoto wa Kike wa siku hizi nchini Tanzania au alikurupuka tu kuisema ili kuwachafua hao ' Wapanuaji ' wa hayo ' Mapaja ' ya hao Mabinti / Watoto wa Kike?
Hivi Mama Salma Kikwete anatambua kwamba hao ' Wapanuaji ' hayo ' Mapaja ' huwa wanashawishiwa vibaya sana na Wabanaji Mapaja aliowahusia ili ' Wapanuliwe ' vizuri? Hivi Mama Salma Kikwete anatambua kwamba kwa sasa kuna tofauti kubwa sana kati ya Wao ( Mabinti wa zamani ) na hawa Mabinti wa leo hasa Kimaadili?
Siku zingine nyie akina Mama mnapoalikwa katika ' matamasha ' kama haya ya Wanawake / Watoto wa Kike muwe mnajitahidi kuwa makini na kauli zenu / matamko yenu ili msije mkajikuta mnatudhalilisha / mnatutukana Sisi Wanaume badala yake mjikite sana ' Kuwafunda ' hawa Watoto wenu wa Kike ambao kiukweli Sisi wengine huwa tunajitahidi mno ' Kutowapanua ' hayo ' Mapaja ' yao ila kuna muda Uzalendo unatushinda kutokana kwamba hata nasi ni ' Marijali ' vile vile.
Acheni kutulaumu Sisi Wanaume kila uchao na makosa yanayotokana na Upumbavu / Upopoma wa hao Mabinti / Wanafunzi wenu ambao mnawazaa halafu nyie nyie wakiwa bado na Umri mdogo tu mnaanza kuwavalisha ' Vimini ' huku mkiwasifia na hadi kuwataka wapige ' Selfie ' na waweke katika Simu zao na katika mitandao yao ya Kijamii.
GENTAMYCINE ni kama Bahari ambayo siku zote huwa haikai na uchafu hivyo ni imani yangu kubwa kuwa message sent and delivered.
Mwanamume nawasilisha.
Mama Salma Kikwete ( ambaye sasa ni Mheshimiwa Mbunge wa Kuteuliwa pia ) aliwaambia Mabinti Tanzania nzima kuwa ' Wajitahidi kubana Mapaja yao ' dhidi ya wale ambao wanapenda ' Kuyapanua ' kwani hao ' Wapanuaji ' wa hayo ' Mapaja ' yao huwa hawana nia nzuri na njema Kwao.
Katika Headline yangu hapo juu nimeuliza kwamba je Mama Salma Kikwete kabla ya kutamka hiyo ' Kauli ' yake alifikiria mara mbili mbili kwa kuzingatia hasa tabia au mienendo ya Watoto wa Kike wa siku hizi nchini Tanzania au alikurupuka tu kuisema ili kuwachafua hao ' Wapanuaji ' wa hayo ' Mapaja ' ya hao Mabinti / Watoto wa Kike?
Hivi Mama Salma Kikwete anatambua kwamba hao ' Wapanuaji ' hayo ' Mapaja ' huwa wanashawishiwa vibaya sana na Wabanaji Mapaja aliowahusia ili ' Wapanuliwe ' vizuri? Hivi Mama Salma Kikwete anatambua kwamba kwa sasa kuna tofauti kubwa sana kati ya Wao ( Mabinti wa zamani ) na hawa Mabinti wa leo hasa Kimaadili?
Siku zingine nyie akina Mama mnapoalikwa katika ' matamasha ' kama haya ya Wanawake / Watoto wa Kike muwe mnajitahidi kuwa makini na kauli zenu / matamko yenu ili msije mkajikuta mnatudhalilisha / mnatutukana Sisi Wanaume badala yake mjikite sana ' Kuwafunda ' hawa Watoto wenu wa Kike ambao kiukweli Sisi wengine huwa tunajitahidi mno ' Kutowapanua ' hayo ' Mapaja ' yao ila kuna muda Uzalendo unatushinda kutokana kwamba hata nasi ni ' Marijali ' vile vile.
Acheni kutulaumu Sisi Wanaume kila uchao na makosa yanayotokana na Upumbavu / Upopoma wa hao Mabinti / Wanafunzi wenu ambao mnawazaa halafu nyie nyie wakiwa bado na Umri mdogo tu mnaanza kuwavalisha ' Vimini ' huku mkiwasifia na hadi kuwataka wapige ' Selfie ' na waweke katika Simu zao na katika mitandao yao ya Kijamii.
GENTAMYCINE ni kama Bahari ambayo siku zote huwa haikai na uchafu hivyo ni imani yangu kubwa kuwa message sent and delivered.
Mwanamume nawasilisha.