Anasomewa taarifa ya mkoa? Ana mamlaka ya kumwajibisha nani? Jaman magamba!
habari ndio hiyo mkuu Zipuwawa, tena ziko kwenye picha maana ungesikia redioni/gazeti ungebisha labda!Haiwezekani Mke wa Rais kupokea ripoti ya Mkoa huku ni kupotoka hata kwa viongozi wa mkoa? Inamaana hata hawa viongozi wa mkoa hawajui wanawajibika kwa nani? Hi ni Tanzania ya wajinga .......................
Ngoja ampendekeze kugombea Urais...
Huyo ni mke wa raisi, hata akienda saluni kusuka huwa kuna security, ama anataka kwenda mkoani kwa shost wake kupena "umbea" huwa lazima pawepo na mambo haoyo. Huyo yeye amepeleka vifaa vya hospitali na anamkutano na akina mama kwenye vyama vyama vyao. Naoana koment nyingi zina ashiria kupinga hilo kwa minajili ya gharama, sawa lakini habu piga picha mtu kama fist lacdy unakutana naye kwenye daladala.. au kwenye basi au amepanda boda boda...! Hata Josephine Mushumbushi hana levo hiyo kwenye upinzani....! ana heshimika na anakonvoy yake, kwe walio ishuudia kule kwenye M4C wanajua