Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Jana Tar.18/10/2010 mama Salma Kikwete alionja joto ya jiwe kutoka kwa wenyeji wa Tunduma wkt akirejea kwenye kampeni Sumbawanga wananchi hao walitaka kuponda gari la mama Salma alikuwa kapita njia ya vumbi ya Msasani na kutokea Sogea. Wenyeji hao wamesema wamechoka na CCM.