Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,918
- 31,160
Waziri wa zamani wa Uingereza wa ushirikiano wa maendeleo Bi Clare Short aka mama rada anatarajiwa kupewa tuzo mahsusi na kituo cha msaada wa sheria na haki za binadamu Tanzania [LHRC] kwa msimamo wake wa kupinga ununuzi wa rada.
Bi Clare Short alianzisha mzozo wa kupinga ununuzi wa rada katika bunge la Uingereza,nchi ambayo ni mfadhili mkubwa wa maendeleo ya Tanzania,na hasa bajeti ya taifa ambayo zaidi ya 30% hutegemea wafadhili.Hoja zilizokuwa zikitumiwa na Bi Clare katika kupinga ununuzi wa rada ni pamoja na rada hiyo kuuzwa kwa bei ghali tofauti na thamani halisi lakini pia ubora wake ulikuwa wakutiliwa shaka.
Source:Raiamwema
Bi Clare Short alianzisha mzozo wa kupinga ununuzi wa rada katika bunge la Uingereza,nchi ambayo ni mfadhili mkubwa wa maendeleo ya Tanzania,na hasa bajeti ya taifa ambayo zaidi ya 30% hutegemea wafadhili.Hoja zilizokuwa zikitumiwa na Bi Clare katika kupinga ununuzi wa rada ni pamoja na rada hiyo kuuzwa kwa bei ghali tofauti na thamani halisi lakini pia ubora wake ulikuwa wakutiliwa shaka.
Source:Raiamwema