mama yetu mpendwa uliye ishi na mzee wa taifa hili hayati baba wa taifa tunakuomba utoe kauli yako juu ya maisha ya watanzania...uwaeleze viongozi kuwa mbona mzee nyerere akuongoza nchi katika hali ya namna hii?
Kwa nn yatokee saizi akiwa ayupo? Ebu mama toa tamko kwa sababu hata viongozi wastaafu wamesusa kabisa nawanaliona taifa linaangamia na amano inatoweka...na watanzania wamekosa umoja wanafanya mambo utafikiri sisi siyo ndugu...mama nyerer toa tamko wakumbushe ccm hizi siasa wanazo fanya babu angekuwepo asingetamani kuziona mama toa tamko uwenda wakakusikia na kuku heshimu...mama toa tamko imefika mahali nchi inayumba kabisa amani inatoweka.
Watanzania wana mlilia nyerere amani aliyo iacha imetoweka.
Miiko ya uongozi aipo tena.
Ccm inadharaulika kwa kutokufanya siasa za ustaarabu.
Mama toa tamko uwenda ccm wakakuonea aibu...mama.
Kwa nn yatokee saizi akiwa ayupo? Ebu mama toa tamko kwa sababu hata viongozi wastaafu wamesusa kabisa nawanaliona taifa linaangamia na amano inatoweka...na watanzania wamekosa umoja wanafanya mambo utafikiri sisi siyo ndugu...mama nyerer toa tamko wakumbushe ccm hizi siasa wanazo fanya babu angekuwepo asingetamani kuziona mama toa tamko uwenda wakakusikia na kuku heshimu...mama toa tamko imefika mahali nchi inayumba kabisa amani inatoweka.
Watanzania wana mlilia nyerere amani aliyo iacha imetoweka.
Miiko ya uongozi aipo tena.
Ccm inadharaulika kwa kutokufanya siasa za ustaarabu.
Mama toa tamko uwenda ccm wakakuonea aibu...mama.