hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,625
- 63,099
Hahaha haaaaa aise - Wanavyo penda hela humu - please muambie asahauLabda anatafuta huruma kwa akina Mama wa JF ili awe Marioo.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha haaaaa aise - Wanavyo penda hela humu - please muambie asahauLabda anatafuta huruma kwa akina Mama wa JF ili awe Marioo.......
Mukiwa katika kujadili jiulizeni bira shahawa uyo mama angekuwa Nani?
OK siku njemaPambane na laana zenu tena msisikiwe kabisa na mwenye mamlaka juu ya Binadamu wote"MUNGU"
Na wangekuwa na namna nyingine ya kupata mimba nadhani ingekuwa mbaya zaidiIlhali baba huyo huyo ana hangaika usiku mchana. .Jua kali .Masika kuhakikisha Mama na mwana wana ishi katika maisha Mazuri na salama. ...Sometimes huwa baba anatafuta riziki katika mazingira hatarishi yanayo weza kuondoa hata uhai wake lakini he doesn't care anachojali yeye ni kuona anafanikisha dhamira ya familiar yake kupata mahitaji yote ya lazima na Yale ya ziada
Aise hebu mtuache kidogo ama mtupatie heshima yetu inavyo stahiki -maana huwa hamjui tabu ambazo huwa tuna pitia Katika utafutaji '
Kilichopo kichwani mwangu na kwako tofauti... Huwezi kunielewa uwe na siku njemaIlhali baba huyo huyo ana hangaika usiku mchana. .Jua kali .Masika kuhakikisha Mama na mwana wana ishi katika maisha Mazuri na salama. ...Sometimes huwa baba anatafuta riziki katika mazingira hatarishi yanayo weza kuondoa hata uhai wake lakini he doesn't care anachojali yeye ni kuona anafanikisha dhamira ya familiar yake kupata mahitaji yote ya lazima na Yale ya ziada
Aise hebu mtuache kidogo ama mtupatie heshima yetu inavyo stahiki -maana huwa hamjui tabu ambazo huwa tuna pitia Katika utafutaji '
Na wangekuwa na namna nyingine ya kupata mimba nadhani ingekuwa mbaya zaidi
Ndio hizo daraja 3 alizopewa mama na Allah...MAMA ALIBEBA MIMBA PEKEE YAKE BILA YA MSAADA WA BABA...Mama hawezi kuwa Sawa na baba...
Mama.. Anakuweka miezi tisa tumboni(baba hawezi)
Mama... Anakuzaa kwa uchungu (baba hawezi)
Mama... Anakulea mpaka unakuwa na kukunyonyesha.... Halali atakesha na wewe pindi baba anakoroma mama anahangaika kubembeleza mtoto
Hapo huwezi kusema baba na mama ni Sawa huwezi
Ndio hizo daraja 3 alizopewa mama na Allah...MAMA ALIBEBA MIMBA PEKEE YAKE BILA YA MSAADA WA BABA...
AKAZAA KWA UCHUNGU BILA YA MSAADA WA BABA...WANADHANI HATA OPERESHENI SIO KUZAA KWA UCHUNGU...MATESO ANAYOYAPATA MAMA KATIKA KUKILEA KIDONDA SIO YA KITOTO...
AKALEA NA KUNYONYESHA MTOTO BILA MSAADA WA BABA...
BABA KAMALIZIA MALEZI BAADA YA KUNYONYA...
SASA WATU WANALETA UACTIVIST KWENYE FACT
Ayseee...Hahaha haaaaa aise - Wanavyo penda hela humu - please muambie asahau
Kamshitaki kwa Edelyn ili utetewe vzr MamaNimeona nikae kimya sababu naona Kuna mmoja kaamua kunitusi kabisa nimeshangaa sana
Sasa hii si ndio kazi yake? Asipofanya hivi unataka afanye nani?Mama hawezi kuwa Sawa na baba...
Mama.. Anakuweka miezi tisa tumboni(baba hawezi)
Mama... Anakuzaa kwa uchungu (baba hawezi)
Mama... Anakulea mpaka unakuwa na kukunyonyesha.... Halali atakesha na wewe pindi baba anakoroma mama anahangaika kubembeleza mtoto
Hapo huwezi kusema baba na mama ni Sawa huwezi
hata ng"ombe anaweka mtoto tumboni na anatandikwa fimbo tuMama hawezi kuwa Sawa na baba...
Mama.. Anakuweka miezi tisa tumboni(baba hawezi)
Mama... Anakuzaa kwa uchungu (baba hawezi)
Mama... Anakulea mpaka unakuwa na kukunyonyesha.... Halali atakesha na wewe pindi baba anakoroma mama anahangaika kubembeleza mtoto
Hapo huwezi kusema baba na mama ni Sawa huwezi
Watu wasio na dini hao maskini wasamehe tu...Nimeona nikae kimya sababu naona Kuna mmoja kaamua kunitusi kabisa nimeshangaa sana