Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama hawezi kuwa Sawa na baba...Baba asiejua majukumu ndio wa hovyo, ila ambae anawapenda na kuwajibika juu yenu ni sawa tu na mama.
Kana kwamba baba alikataa kushika mimba!!?MTUME MUHAMMAD اصلا الله عليه وسلم ALIPATA KUULIZWA NA SWAHABA WAKE JUU YA "Ni yupi wa kutendewa wema zaidi katika wazazi wangu wawili na ndugu zangu?, akajibu 'Mama Yako', akaulizwa nani mwingine?, akajibu tena 'Mama yako', Muulizaji akauliza tena nani mwingine?, Mtume akajibu tena ' MAMA YAKO', Yule bwana akauliza tena NANI MWINGINE, Kisha Mtume Akajibu 'Baba Yako'...?"
TUMEZIONA DARAJA TATU ZA MAMA ZAIDI YA BABA...YAANI GOLD, SILVER NA BRONZE...
DARAJA TATU ZA MAMA.
1. MAMA ALIBEBA MIMBA PEKEE YAKE BILA MSAADA WA BABA.
2. MAMA ALIPATA HARAKATI ZA KUZAA PEKEE YAKE BILA KUSAIDIWA NA BABA.
3. MAMA ALINYONYESHA MTOTO PEKEE YAKE BILA KUSAIDIWA NA BABA.
DARAJA YA BABA.
*BABA ALICHANGIA TU KATIKA MALEZI NA MAMA.
Kwetu sisi wanaume: Kumtendea wema MKEO NI WAJIBU WAKO, NI DHAMBI UTAULIZWA USIPOFANYA HIVYO.
ILA USIPOMTENDEA WEMA MAMA YAKO, HUTOUONA WALA KUPATA HARUFU YA UFALME WA MBINGUNI...YAANI PEPO ZETU ZIPO CHINI YA MIGUU YA MAMA ZETU...UKIMRIDHISHA MAMA KATIKA WEMA NA UKAMTENDEA WEMA BASI WEWE UMEFAULU KUIPATA PEPO...!
TUWARUHUSU WAKE ZETU WAPATE FURSA YA KUPATA RADHI ZA MAMA ZAO...JAPO WANAWAJIBIKA ZAIDI KWETU KIMAMLAKA...ILA HAKI ZA MAMA ZAO HATUWEZI ZISHUSHA...!
TUWATENDEE WEMA WAZAZI WETU WAWILI...ILA TUSIMLINGANISHE MAMA NA VIUMBE VIUNGE...THAMANI YA MAMA NI KUBWA MNO...NI NGUMU SANA KUILINGANISHA NA KIUMBE CHOCHOTE...!
Hahaha aiseSasa hayo ni maneno ya mudi siyo lazima yawe sheria. Kuna wengine wanawathamini baba zao kwasababu mama zao waliwatelekeza walipozaliwa...
Aisee.... THAMANI YA BABA HAIONEKANI....MTUME MUHAMMAD اصلا الله عليه وسلم ALIPATA KUULIZWA NA SWAHABA WAKE JUU YA "Ni yupi wa kutendewa wema zaidi katika wazazi wangu wawili na ndugu zangu?, akajibu 'Mama Yako', akaulizwa nani mwingine?, akajibu tena 'Mama yako', Muulizaji akauliza tena nani mwingine?, Mtume akajibu tena ' MAMA YAKO', Yule bwana akauliza tena NANI MWINGINE, Kisha Mtume Akajibu 'Baba Yako'...?"
TUMEZIONA DARAJA TATU ZA MAMA ZAIDI YA BABA...YAANI GOLD, SILVER NA BRONZE...
DARAJA TATU ZA MAMA.
1. MAMA ALIBEBA MIMBA PEKEE YAKE BILA MSAADA WA BABA.
2. MAMA ALIPATA HARAKATI ZA KUZAA PEKEE YAKE BILA KUSAIDIWA NA BABA.
3. MAMA ALINYONYESHA MTOTO PEKEE YAKE BILA KUSAIDIWA NA BABA.
DARAJA YA BABA.
*BABA ALICHANGIA TU KATIKA MALEZI NA MAMA.
Kwetu sisi wanaume: Kumtendea wema MKEO NI WAJIBU WAKO, NI DHAMBI UTAULIZWA USIPOFANYA HIVYO.
ILA USIPOMTENDEA WEMA MAMA YAKO, HUTOUONA WALA KUPATA HARUFU YA UFALME WA MBINGUNI...YAANI PEPO ZETU ZIPO CHINI YA MIGUU YA MAMA ZETU...UKIMRIDHISHA MAMA KATIKA WEMA NA UKAMTENDEA WEMA BASI WEWE UMEFAULU KUIPATA PEPO...!
TUWARUHUSU WAKE ZETU WAPATE FURSA YA KUPATA RADHI ZA MAMA ZAO...JAPO WANAWAJIBIKA ZAIDI KWETU KIMAMLAKA...ILA HAKI ZA MAMA ZAO HATUWEZI ZISHUSHA...!
TUWATENDEE WEMA WAZAZI WETU WAWILI...ILA TUSIMLINGANISHE MAMA NA VIUMBE VIUNGE...THAMANI YA MAMA NI KUBWA MNO...NI NGUMU SANA KUILINGANISHA NA KIUMBE CHOCHOTE...!
Mama hawezi kuwa Sawa na baba...
Mama.. Anakuweka miezi tisa tumboni(baba hawezi)
Mama... Anakuzaa kwa uchungu (baba hawezi)
Mama... Anakulea mpaka unakuwa na kukunyonyesha.... Halali atakesha na wewe pindi baba anakoroma mama anahangaika kubembeleza mtoto
Hapo huwezi kusema baba na mama ni Sawa huwezi
Aisee.... THAMANI YA BABA HAIONEKANI....
HahaaaBaada ya mawaidha, Sasa ni muda wa kuvuta bangi ya Njombe na kushushia gongo ya mabibo kutoka Mtwara, kwa hisani ya Magundu
Kila mmoja ana nafasi yake
Ila Mama ni Zaidi
Chief Mshana Jr
Hujasikia ule msemo
NANI KAMA MAMA?!!!
Baba asiejua majukumu ndio wa hovyo, ila ambae anawapenda na kuwajibika juu yenu ni sawa tu na mama.
acha umama wewe ostaz wazazi wote ni sawa tuuh sasa ulitaka wakina baba wabebe mimba au wanyonyeshe tuna maziwa sisii...usituzoeee
Mama hawezi kuwa Sawa na baba...
Mama.. Anakuweka miezi tisa tumboni(baba hawezi)
Mama... Anakuzaa kwa uchungu (baba hawezi)
Mama... Anakulea mpaka unakuwa na kukunyonyesha.... Halali atakesha na wewe pindi baba anakoroma mama anahangaika kubembeleza mtoto
Hapo huwezi kusema baba na mama ni Sawa huwezi
Sasa kama Mawatu yanashindana hadi na Mungu kwa kuukosoa uumbaji wake kwao(hayaridhiki wala kuona umuhimu wao kwetu Me) Me tutaonekana tuna thamani juu ya KeIlhali baba huyo huyo ana hangaika usiku mchana. .Jua kali .Masika kuhakikisha Mama na mwana wana ishi katika maisha Mazuri na salama. ...Sometimes huwa baba anatafuta riziki katika mazingira hatarishi yanayo weza kuondoa hata uhai wake lakini he doesn't care anachojali yeye ni kuona anafanikisha dhamira ya familiar yake kupata mahitaji yote ya lazima na Yale ya ziada
Aise hebu mtuache kidogo ama mtupatie heshima yetu inavyo stahiki -maana huwa hamjui tabu ambazo huwa tuna pitia Katika utafutaji '
Huo msemo si-ulitungwa na watu kama mimi na wewe tu '' so Maoni yao yanaweza kuwa sio sawa kwa namna moja ama nyingine ''Je Haujawahi kujiuliza labda huo msemo ulitungwa na mtu/watu wenye jinsia ya kike wenye lengo la kujifanyia double standard na kutokomeza heshima ya mwanamke -- kama hivi ambavyo Tuna jionea hii leo jinsi heshima ya baba ilivyo sambaratishwa? !!
Hahaha huyo ustaadhi amelewa