Mama ni mara 3 bora zaidi kuliko baba

Baba asiejua majukumu ndio wa hovyo, ila ambae anawapenda na kuwajibika juu yenu ni sawa tu na mama.
Mama hawezi kuwa Sawa na baba...

Mama.. Anakuweka miezi tisa tumboni(baba hawezi)
Mama... Anakuzaa kwa uchungu (baba hawezi)
Mama... Anakulea mpaka unakuwa na kukunyonyesha.... Halali atakesha na wewe pindi baba anakoroma mama anahangaika kubembeleza mtoto
Hapo huwezi kusema baba na mama ni Sawa huwezi
 
Sasa hayo ni maneno ya mudi siyo lazima yawe sheria. Kuna wengine wanawathamini baba zao kwasababu mama zao waliwatelekeza walipozaliwa...
 
MTUME MUHAMMAD اصلا الله عليه وسلم ALIPATA KUULIZWA NA SWAHABA WAKE JUU YA "Ni yupi wa kutendewa wema zaidi katika wazazi wangu wawili na ndugu zangu?, akajibu 'Mama Yako', akaulizwa nani mwingine?, akajibu tena 'Mama yako', Muulizaji akauliza tena nani mwingine?, Mtume akajibu tena ' MAMA YAKO', Yule bwana akauliza tena NANI MWINGINE, Kisha Mtume Akajibu 'Baba Yako'...?"

TUMEZIONA DARAJA TATU ZA MAMA ZAIDI YA BABA...YAANI GOLD, SILVER NA BRONZE...

DARAJA TATU ZA MAMA.
1. MAMA ALIBEBA MIMBA PEKEE YAKE BILA MSAADA WA BABA.

2. MAMA ALIPATA HARAKATI ZA KUZAA PEKEE YAKE BILA KUSAIDIWA NA BABA.

3. MAMA ALINYONYESHA MTOTO PEKEE YAKE BILA KUSAIDIWA NA BABA.


DARAJA YA BABA.
*BABA ALICHANGIA TU KATIKA MALEZI NA MAMA.


Kwetu sisi wanaume: Kumtendea wema MKEO NI WAJIBU WAKO, NI DHAMBI UTAULIZWA USIPOFANYA HIVYO.

ILA USIPOMTENDEA WEMA MAMA YAKO, HUTOUONA WALA KUPATA HARUFU YA UFALME WA MBINGUNI...YAANI PEPO ZETU ZIPO CHINI YA MIGUU YA MAMA ZETU...UKIMRIDHISHA MAMA KATIKA WEMA NA UKAMTENDEA WEMA BASI WEWE UMEFAULU KUIPATA PEPO...!

TUWARUHUSU WAKE ZETU WAPATE FURSA YA KUPATA RADHI ZA MAMA ZAO...JAPO WANAWAJIBIKA ZAIDI KWETU KIMAMLAKA...ILA HAKI ZA MAMA ZAO HATUWEZI ZISHUSHA...!


TUWATENDEE WEMA WAZAZI WETU WAWILI...ILA TUSIMLINGANISHE MAMA NA VIUMBE VIUNGE...THAMANI YA MAMA NI KUBWA MNO...NI NGUMU SANA KUILINGANISHA NA KIUMBE CHOCHOTE...!
Kana kwamba baba alikataa kushika mimba!!?

Kana kwamba baba alikuwa na maziwa akakataa kunyonyesha!!?

Mara nyingi baba huwalea na kuwahudumia mama na mtoto katiba maisha yake yote (baba) ya kuwepo hapa dunia.

Mimi Baba ndio ninajua mke na mtoto wale nini wavae nini, Mimi ndio najua wakiugua watibiwe hospitality gani na pesa ya malipo itoke wapi,

Mimi ndio nimewatengenezea nyumba na sasa wanapaita kwao, kitanda, godoro, chandarua na mashuka Mimi ndio hununua na kula yanapokwisha na nunua tena.

Mimi ndio nitaacha ulithi wa jina, Mali elimu na kila kitu.

Likija baya nyumbani kwa mama na mtoto Mimi (baba) ndio gao yao niue kwanza ndipo uwaguse but NO ONE CAREERS
 
MTUME MUHAMMAD اصلا الله عليه وسلم ALIPATA KUULIZWA NA SWAHABA WAKE JUU YA "Ni yupi wa kutendewa wema zaidi katika wazazi wangu wawili na ndugu zangu?, akajibu 'Mama Yako', akaulizwa nani mwingine?, akajibu tena 'Mama yako', Muulizaji akauliza tena nani mwingine?, Mtume akajibu tena ' MAMA YAKO', Yule bwana akauliza tena NANI MWINGINE, Kisha Mtume Akajibu 'Baba Yako'...?"

TUMEZIONA DARAJA TATU ZA MAMA ZAIDI YA BABA...YAANI GOLD, SILVER NA BRONZE...

DARAJA TATU ZA MAMA.
1. MAMA ALIBEBA MIMBA PEKEE YAKE BILA MSAADA WA BABA.

2. MAMA ALIPATA HARAKATI ZA KUZAA PEKEE YAKE BILA KUSAIDIWA NA BABA.

3. MAMA ALINYONYESHA MTOTO PEKEE YAKE BILA KUSAIDIWA NA BABA.


DARAJA YA BABA.
*BABA ALICHANGIA TU KATIKA MALEZI NA MAMA.


Kwetu sisi wanaume: Kumtendea wema MKEO NI WAJIBU WAKO, NI DHAMBI UTAULIZWA USIPOFANYA HIVYO.

ILA USIPOMTENDEA WEMA MAMA YAKO, HUTOUONA WALA KUPATA HARUFU YA UFALME WA MBINGUNI...YAANI PEPO ZETU ZIPO CHINI YA MIGUU YA MAMA ZETU...UKIMRIDHISHA MAMA KATIKA WEMA NA UKAMTENDEA WEMA BASI WEWE UMEFAULU KUIPATA PEPO...!

TUWARUHUSU WAKE ZETU WAPATE FURSA YA KUPATA RADHI ZA MAMA ZAO...JAPO WANAWAJIBIKA ZAIDI KWETU KIMAMLAKA...ILA HAKI ZA MAMA ZAO HATUWEZI ZISHUSHA...!


TUWATENDEE WEMA WAZAZI WETU WAWILI...ILA TUSIMLINGANISHE MAMA NA VIUMBE VIUNGE...THAMANI YA MAMA NI KUBWA MNO...NI NGUMU SANA KUILINGANISHA NA KIUMBE CHOCHOTE...!
Aisee.... THAMANI YA BABA HAIONEKANI....
 
Ilhali baba huyo huyo ana hangaika usiku mchana. .Jua kali .Masika kuhakikisha Mama na mwana wana ishi katika maisha Mazuri na salama. ...Sometimes huwa baba anatafuta riziki katika mazingira hatarishi yanayo weza kuondoa hata uhai wake lakini he doesn't care anachojali yeye ni kuona anafanikisha dhamira ya familiar yake kupata mahitaji yote ya lazima na Yale ya ziada

Aise hebu mtuache kidogo ama mtupatie heshima yetu inavyo stahiki -maana huwa hamjui tabu ambazo huwa tuna pitia Katika utafutaji '
Mama hawezi kuwa Sawa na baba...

Mama.. Anakuweka miezi tisa tumboni(baba hawezi)
Mama... Anakuzaa kwa uchungu (baba hawezi)
Mama... Anakulea mpaka unakuwa na kukunyonyesha.... Halali atakesha na wewe pindi baba anakoroma mama anahangaika kubembeleza mtoto
Hapo huwezi kusema baba na mama ni Sawa huwezi
 
Huo msemo si-ulitungwa na watu kama mimi na wewe tu '' so Maoni yao yanaweza kuwa sio sawa kwa namna moja ama nyingine ''Je Haujawahi kujiuliza labda huo msemo ulitungwa na mtu/watu wenye jinsia ya kike wenye lengo la kujifanyia double standard na kutokomeza heshima ya mwanaume -- kama hivi ambavyo Tuna jionea hii leo jinsi heshima ya baba ilivyo sambaratishwa? !!
Kila mmoja ana nafasi yake

Ila Mama ni Zaidi

Chief Mshana Jr
Hujasikia ule msemo

NANI KAMA MAMA?!!!
 
Pambane na laana zenu tena msisikiwe kabisa na mwenye mamlaka juu ya Binadamu wote"MUNGU"
Mama hawezi kuwa Sawa na baba...

Mama.. Anakuweka miezi tisa tumboni(baba hawezi)
Mama... Anakuzaa kwa uchungu (baba hawezi)
Mama... Anakulea mpaka unakuwa na kukunyonyesha.... Halali atakesha na wewe pindi baba anakoroma mama anahangaika kubembeleza mtoto
Hapo huwezi kusema baba na mama ni Sawa huwezi
 
Eti mwanamke anabeba mimba miezi 9, ananyonyesha mnataka wanaume wafanye majukumu yenu ya kiasili, mwanamke uwepo wapo duniani ni kuzaa tena kwa uchungu haswaa, na kumsaidia mwanaume unless otherwise uniambie baba kakimbia majukumu yake ndio umlinganishe na mama, wazazi wote ni sawa ila baba ndio mwenye uzao, mwenye mji
 
Ilhali baba huyo huyo ana hangaika usiku mchana. .Jua kali .Masika kuhakikisha Mama na mwana wana ishi katika maisha Mazuri na salama. ...Sometimes huwa baba anatafuta riziki katika mazingira hatarishi yanayo weza kuondoa hata uhai wake lakini he doesn't care anachojali yeye ni kuona anafanikisha dhamira ya familiar yake kupata mahitaji yote ya lazima na Yale ya ziada

Aise hebu mtuache kidogo ama mtupatie heshima yetu inavyo stahiki -maana huwa hamjui tabu ambazo huwa tuna pitia Katika utafutaji '
Sasa kama Mawatu yanashindana hadi na Mungu kwa kuukosoa uumbaji wake kwao(hayaridhiki wala kuona umuhimu wao kwetu Me) Me tutaonekana tuna thamani juu ya Ke

Yaache yajipandishe mavyeo tu juu lkn Mungu alishaturasimisha sisi ni viumbe bora, ndiyomaana tukapewa mamlaka ya uongozi ktk familia/ndoa zetu
 
Kabisa Chifu, Wazee wa "Feminism systems/mifumo jike"
Huo msemo si-ulitungwa na watu kama mimi na wewe tu '' so Maoni yao yanaweza kuwa sio sawa kwa namna moja ama nyingine ''Je Haujawahi kujiuliza labda huo msemo ulitungwa na mtu/watu wenye jinsia ya kike wenye lengo la kujifanyia double standard na kutokomeza heshima ya mwanamke -- kama hivi ambavyo Tuna jionea hii leo jinsi heshima ya baba ilivyo sambaratishwa? !!
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom