Huu uzi umenikumbusha usiku wa tarehe 7.11.2006 ,nikiwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza udsm.
Nilirudi nyumbani kwa maoumziko ya weekend mnamo tar 4 ambapo nilimkuta mam Yangu mpendwa amepika chapati na njegere alinisihi nile ila by thn sikuwa na hamu ya kula kbs ila ilinibidi nile kidogo kumridhisha nae alifurahi sana,masikini bila kujua kumbe ule ndio ulikuwa mwisho wa mm kuona tabasamu lake zuri.
Usiku wa kuamkia tar 6 dada yangu ambaye naye alikuwa mwanafunzi udsm alinipigia simu kuwa mama anaumwa sana wanampeleka tmj hosp basi nilishtuka sana na sikuweza kulala tena ,alfajir nilielekea tmj hosp ambapo nilimkuta mama ypo kwenye hali mbaya wamemuwekea oxygen basi niliumia sana nilishinda hapo hosp,basi mida ya jioni mama alipata nafuu akaweza kuongea akaniambia mm nirudi chuo nisome ila kesho yake asbh niwahi ili nikae nae dada yangu nae aende chuo
Haikuwa siku nzuri kwangu hata baada ua kuondoka pale hosp maana kila kitu hakikushikika.sikujisikia kusoma,sikujisikia kula yani mambo yalikuwa vululu vululu.
Usiku mida ya saa 7 simu yangu iliita ,kuangalia mpigaji alikiwa ni dada yangu ambaye nilimuacha na mama hosp,hata sikuwa na mashaka maana mama nilimuacha amepata nafuu kidogo ,lkn sikuamini masikio yangu baada ya kupokea simu ile,aliniambia Mdogo angu mama amefariki .
Nililia kilio kilicho amsha watu wengi kutoka kwenye flats mbalimbali pale kijitonyama hostel
Baada ya siku mbili tulimpumzisha mama kwenye nyumba yake ya milele.
Basi huo ndio ukawa mwanzo wa mahangaiko yangu hadi leo ,mabinadamu manafiki ndio wanaonizunguka.
Tuonane asubuhi ile mama yangu kipenzi.
Bado nakupenda vile vile ingawa hauko nami.
Nilirudi nyumbani kwa maoumziko ya weekend mnamo tar 4 ambapo nilimkuta mam Yangu mpendwa amepika chapati na njegere alinisihi nile ila by thn sikuwa na hamu ya kula kbs ila ilinibidi nile kidogo kumridhisha nae alifurahi sana,masikini bila kujua kumbe ule ndio ulikuwa mwisho wa mm kuona tabasamu lake zuri.
Usiku wa kuamkia tar 6 dada yangu ambaye naye alikuwa mwanafunzi udsm alinipigia simu kuwa mama anaumwa sana wanampeleka tmj hosp basi nilishtuka sana na sikuweza kulala tena ,alfajir nilielekea tmj hosp ambapo nilimkuta mama ypo kwenye hali mbaya wamemuwekea oxygen basi niliumia sana nilishinda hapo hosp,basi mida ya jioni mama alipata nafuu akaweza kuongea akaniambia mm nirudi chuo nisome ila kesho yake asbh niwahi ili nikae nae dada yangu nae aende chuo
Haikuwa siku nzuri kwangu hata baada ua kuondoka pale hosp maana kila kitu hakikushikika.sikujisikia kusoma,sikujisikia kula yani mambo yalikuwa vululu vululu.
Usiku mida ya saa 7 simu yangu iliita ,kuangalia mpigaji alikiwa ni dada yangu ambaye nilimuacha na mama hosp,hata sikuwa na mashaka maana mama nilimuacha amepata nafuu kidogo ,lkn sikuamini masikio yangu baada ya kupokea simu ile,aliniambia Mdogo angu mama amefariki .
Nililia kilio kilicho amsha watu wengi kutoka kwenye flats mbalimbali pale kijitonyama hostel
Baada ya siku mbili tulimpumzisha mama kwenye nyumba yake ya milele.
Basi huo ndio ukawa mwanzo wa mahangaiko yangu hadi leo ,mabinadamu manafiki ndio wanaonizunguka.
Tuonane asubuhi ile mama yangu kipenzi.
Bado nakupenda vile vile ingawa hauko nami.