Mama Ndalichako tusaidie Marian Girls wanataka kutuibia wazazi bila aibu

Sasa kama mnaibiwa si muwapeleke watoto wenu wakasone serikalini c mnajitia mnapesa kupeleka watoto private sasa ndo mtoe izo ela mana nyiny ni madon...
 
Wanaenda kuendelea na Pre V mpaka tarehe 27 July ndiyo waingie rasmi wale wengine wakiingia Form 6
Hii haiwezekani

Maana Kuna vidato vyote form six bado wapo Kisha uingize 115 pre V watakaa wapi unless hiyo shule na excess capacity
 
Mm natoa ushauri tu kwako mzazi. Mwanao akifika chuo kikuu usikubali aombe ule mkopo wa serikali maana kama umeweza kumlipia ada hiyo mtoto basi na chuo mlipie tu. Sio kwa makato haya wanayokatwa kwenye mishahara hadi mtu unatamani kuacha kazi
Mzazi analipia 1.6 million mtoto asome twisheni ya pre-form five

afu anaomba mkopo HESLB wa kulipia laki 8 Ada ya mwaka mzima Chuo kikuu

Inashangaza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ur a comlicator Mzee.. The problem is not a problem. The way u react to the problem is a problem.

Unachafua Tu jina la shule anayo soma mwanao. Si kila Jambo lafaa kuanzishiwa Uzi.

Those are just ordinary tears and wears of an organisation.

Kila mtu angesema aelezee matatizo ya shuleni Kwa mtoto wake kungekuwa hakutoshi hapa.
Kingereza Cha wapi hiki bwashee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si Sawa matatizo ya shule kuyaleta mtandaoni. It's so unintellectual...
Unashusha na kudhalilisha hadhi na heshima ya shule.

Bora ungemuhamisha mwanao kuliko kuleta Uzi huku.

Umechemka mkuu

@moderators futeni Uzi huu.
Waliochemka ni wao kwa kuzuia comment za wanagroup, hata tusio jua udhaifu wao leo tumeujua kwa kupitia hapa.
 
Tatizo kubwa msilolijua wewe unazaa mtoto wako unamchukua unampelekea mtu ambaye alikataa kuzaa mtoto na uwezo wa kuzaa alikuwa ano akakataa kuzaa unamwambia nisaidie kumlea mtoto wangu .atakachokufanyia ndicho mnachofanyiwa Sasa kukupiga mahela na Hana uchungu na wewe .wanaowalea hao watoto hawataki kuolewa, hawataki kuoa,hawataki kuzaa Ila kulea watoto wa wengine kwa michango mikubwa hawajambo.wazazi wa fungukeni chukueni tahadhari mapema yajayo yanafurahisha.kwa Sasa Tanzania elimu ni bure na imeboreshwa ,nyumbani kumenoga
Wewe utakuwa na chuki binfsi, sawa elimu ni bure, hapo mtaani ulipo tafta vijana 2, 3 waliomaliza kidato cha nne mwaka jana wambie wakuandikie 320,000 kwa tarakimu kama wataweza nitafte inbox nikupe zawadi.
 
Sasa kama mnaibiwa si muwapeleke watoto wenu wakasone serikalini c mnajitia mnapesa kupeleka watoto private sasa ndo mtoe izo ela mana nyiny ni madon...
Kuwa na hela ndo utoe hela bila kuhoji?? hii akili ya wapi?
 
I think solusheni ya hii kitu ni shuleni.Mkae kama uongozi na wazazi mpate suluhisho. Ukitaka kushughulika na tatizo tafuta chanzo cha tatizo ili uanzie hapo.Nafikiri mkiongea pamoja na shule watawaelewa. Na wao wanajua sema hapo ni kutegana.
 
Kiasi sio wastarabu wamefungua group ma admin ni wao wenyewe wametupa ujumbe na hatuwezi ku comment. Wangekuwa wastarabu wangetupa room ya ku comment ndo tumeona tulete uzi jamvini

Mkuu wa shule anaitwa "Massawe" unategemea nini linapokuja suala la pesa? yaani hao wenzetu kwenye pesa ni wakukimbia kama Corona na usishangae akakana katakata kuwa hamkulipa gharama za watoto kusoma pre V wao wana focus pesa pesa pesa tu
 
Labda ndugu hujasoma uzi vizuri. Watoto sasa hivi wanarudi kumalizia Pre V then July 24 ndio waingie Form V. Kuna haja ya kulipa sasa hivi wakati ndio anaenda kumalizia Pre V?
Pre form one na pre form five ni wizi mtupu. Nachukia shule zenye utaratibu huo
 
Ur a comlicator Mzee.. The problem is not a problem. The way u react to the problem is a problem.

Unachafua Tu jina la shule anayo soma mwanao. Si kila Jambo lafaa kuanzishiwa Uzi.

Those are just ordinary tears and wears of an organisation.

Kila mtu angesema aelezee matatizo ya shuleni Kwa mtoto wake kungekuwa hakutoshi hapa.
Mzee wa kazi usiniangushe na hilo yai. Umenifanya nikumbuke kunauzi jamaa aliandika sex leady
 
Massage wote ni wapigaji jilindeni na huyu mama kwenye masuala ya fedha.
Mkuu wa shule anaitwa "Massawe" unategemea nini linapokuja suala la pesa? yaani hao wenzetu kwenye pesa ni wakukimbia kama Corona na usishangae akakana katakata kuwa hamkulipa gharama za watoto kusoma pre V wao wana focus pesa pesa pesa tu
 
Back
Top Bottom