Mama Ndalichako tusaidie Marian Girls wanataka kutuibia wazazi bila aibu

Pre form V wanasoma mambo gani sasa?? Maana hii haipo katika formal line ya education ni vijikozi vya kuwaibia ninyi.

Angalau Pre form I, wengi wanaenda kujifunza lugha.
 
OK basi asubiri form five ifunguliwe ndiyo aende and thereforehe foregoes this remaining part of pre five...
 
Sijajua jamii yetu siku hizi imepatwa na nini,yaani swala la shule wazazi 115 mmeshindwa kujadili kwa kuhoji maswali wamiliki wa shule na kulitafutia ufumbuzi?
Nina shule yangu ya awali (Nursery school)
Wazazi waliokuwa wamelipa ada robo yaani miezi mitatu wao watalipa ada ya mhula wa pili uliobaki,wale waliokuwa wamelipa ada nusu na kwa kuwa nusu mhula mzima hawajasoma basi watalipa ada robo yaani kuanzia September to December na watakuwa wamelipa ada robotatu ya mwaka na kwa waliokuwa wamelipa ada ya mwaka mzima wao hawatachangia chochote watoto watarudi shule na kusoma mpaka December bila michango ya aina yeyote.
Na hicho kikao tulikaa ijumaa na wazazi kwa njia ya WhatsApp na tukaafikiana vyema kabisa sasa maana biashara ni pamoja na kuishi vizuri na mteja. Ninyi mnakimbilia kuomba msaada mitandaoni wakati swala lipo ndani ya uwezo wenu na nyie ndiyo mabosi wao.
 
Issue yangu ni hivi

1. Tulilipa 1.6m kwa ajili ya Pre V ambayo inge cover five months badala yake waka kaa 5 weeks - IMEPOTEA
2. Watoto wanarudi 26June kwa ajili ya kumalizia Pre V then wajiunge na V 24 July
3. Watoto hawatapokelewa kama hulipa hela V ambayo ina anza July
4. Wamefungua group ambalo hatuwezi toa comments
 
Sijajua jamii yetu siku hizi imepatwa na nini,yaani swala la shule wazazi 115 mmeshindwa kujadili kwa kuhoji maswali wamiliki wa shule na kulitafutia ufumbuzi?
Nina shule yangu ya awali (Nursery school)
Wazazi waliokuwa wamelipa ada robo yaani miezi mitatu wao watalipa ada ya mhula wa pili uliobaki,wale waliokuwa wamelipa ada nusu na kwa kuwa nusu mhula mzima hawajasoma basi watalipa ada robo yaani kuanzia September to December na watakuwa wamelipa ada robotatu ya mwaka na kwa waliokuwa wamelipa ada ya mwaka mzima wao hawatachangia chochote watoto watarudi shule na kusoma mpaka December bila michango ya aina yeyote.
Na hicho kikao tulikaa ijumaa na wazazi kwa njia ya WhatsApp na tukaafikiana vyema kabisa sasa maana biashara ni pamoja na kuishi vizuri na mteja. Ninyi mnakimbilia kuomba msaada mitandaoni wakati swala lipo ndani ya uwezo wenu na nyie ndiyo mabosi wao.

Hawa viumbe wamefungua group ma admin ni wao, wao wameleta taarifa na kuingia mitini hatuwezi ku comment na baada ya kutuma huo utombo wao hawajasema chochote ndo mana tunataka iende mbele
 
Kwa kweli awamu hii tunaishukuru sana hasa my wetu. Kitu cha kuzingatia hapo nyie lipeni hiyo ada hakuna namna kwani wao ndio wameleta huo ugonjwa mbona nyie mlikuwa mnalipwa mshahara pamoja na kuwepo corona? Mnafikiria wao wangeishije? Lipa vinginevyo hamisha mtoto
Wewe utakua mkuu wa shule,sasa hao wazazi ndio walioleta corona na wao hawajaathiriwa na corona,yan kwa akili yako unadhani corona imewaathiri walimu tu,hujui kama ktk hao wazazi kuna waliopunguzwa makazini,kuna waliopewa likizo bila malipo tena wakiwa nyumbani wanapewa nusu mshahara,kuna wazazi walioua mitaji kutokana janga la corona n.k,yan mnajifikiria nyinyi tu!
 
Kiasi sio wastarabu wamefungua group ma admin ni wao wenyewe wametupa ujumbe na hatuwezi ku comment. Wangekuwa wastarabu wangetupa room ya ku comment ndo tumeona tulete uzi jamvini
Wamefanya jambo jema kuwaunganisha wazazi wote mkajuana,hapo fungueni group lingine bila uwepo wao,jipangeni halafu mtakachoamua kwa pa1 muwapeleke kwenye group lao
 
Mm natoa ushauri tu kwako mzazi. Mwanao akifika chuo kikuu usikubali aombe ule mkopo wa serikali maana kama umeweza kumlipia ada hiyo mtoto basi na chuo mlipie tu. Sio kwa makato haya wanayokatwa kwenye mishahara hadi mtu unatamani kuacha kazi
 
Tatizo kubwa msilolijua wewe unazaa mtoto wako unamchukua unampelekea mtu ambaye alikataa kuzaa mtoto na uwezo wa kuzaa alikuwa ano akakataa kuzaa unamwambia nisaidie kumlea mtoto wangu .atakachokufanyia ndicho mnachofanyiwa Sasa kukupiga mahela na Hana uchungu na wewe .wanaowalea hao watoto hawataki kuolewa, hawataki kuoa,hawataki kuzaa Ila kulea watoto wa wengine kwa michango mikubwa hawajambo.wazazi wa fungukeni chukueni tahadhari mapema yajayo yanafurahisha.kwa Sasa Tanzania elimu ni bure na imeboreshwa ,nyumbani kumenoga
 
Ur a comlicator Mzee.. The problem is not a problem. The way u react to the problem is a problem.

Unachafua Tu jina la shule anayo soma mwanao. Si kila Jambo lafaa kuanzishiwa Uzi.

Those are just ordinary tears and wears of an organisation.

Kila mtu angesema aelezee matatizo ya shuleni Kwa mtoto wake kungekuwa hakutoshi hapa.
 
tatzo sio wewe ulietoa 1.6M ambayo haikutimiza lengo lililokusudiwa.

mpaka ameandika hivi hadharani manake hio hela imemuuma mkuu.
The problem is not a problem . The way I react to a problem is a problem.

The approach to the solution of the problem must be constructive and not destructive.
 
Read between the lines
Hizi PRE mi naona upigaji tu tangu mwanzo. Kama nini fanya kama alivosema mdau mmoja, chukua namba za mliomo kwnye group tengezeni yenu muwaingize hao wakuu wa hio shule muwahoji. ikiwezakana pangeni wazazi nyote muende ofisini mkalianzishe. Humu JF huyo Ndali ata kama anasoma humu sifikiri kama atalishughulikia umu
 
Issue yangu ni hivi

1. Tulilipa 1.6m kwa ajili ya Pre V ambayo inge cover five months badala yake waka kaa 5 weeks - IMEPOTEA
2. Watoto wanarudi 26June kwa ajili ya kumalizia Pre V then wajiunge na V 24 July
3. Watoto hawatapokelewa kama hulipa hela V ambayo ina anza July
4. Wamefungua group ambalo hatuwezi toa comments
Wewe mtoa mada unataka ushauri gani?

Wakati mwingine sema unapendekeza tukuambie kipi?

Issue ya wao kufungua group, hata ninyi mnaweza fungueni mzungumze.


Fanyia kazi ulichoshauriwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The problem is not a problem . The way I react to a problem is a problem.

The approach to the solution of the problem must be constructive and not destructive.
I think I constructively criticized you and the man has constructively complained, and if we would feel the way he feels may be we can constructively give our opinions.
 
Sijaogopa 1.6m cha ajabu watoto wanarudi ajili ya PV then waitaingia V 24th July nayo pia wanataka ilipwe kesho kutwa wakienda yani tarehe 26June iwe imelipwa. Kwanini ulipe hela ya mbeleeeeeeee???
Yaan mkuu ambacho unaona hakiko sawa ni kulipa 1.6m kisha watoto wasome muda mchache kuliko ilivokua planned before?

Au kulipa now Ada ya form 5 wakati Shule yenyewe haijaanza?

Nachojua Mimi inawezekana biashara ya Pre Form5 ndo inaelekea ukingoni, that's why now wanazungumzia form 5 yenyewe ikiwemo na ada yake.

Yote ya yote serikali inatakiwa itoe maelekezo thabiti with a lot of mikwara kua atakae pingana nayo basi litamkuta la kumkuta
 
Wewe utakua mkuu wa shule,sasa hao wazazi ndio walioleta corona na wao hawajaathiriwa na corona,yan kwa akili yako unadhani corona imewaathiri walimu tu,hujui kama ktk hao wazazi kuna waliopunguzwa makazini,kuna waliopewa likizo bila malipo tena wakiwa nyumbani wanapewa nusu mshahara,kuna wazazi walioua mitaji kutokana janga la corona n.k,yan mnajifikiria nyinyi tu!
Kama hayo yanajulikana kwanini mleta analalamika wakati hili ni janga na hakuna aliyelileta na kila mtu ameathirika hivyo kila kitu inaanza upya
 
Back
Top Bottom