Mnastar jr
Member
- Dec 29, 2016
- 99
- 53
Wakuu habari zenu!;Hili jina(Ndalichako) nlitokea kulifaham Kiundani na kusmbua akili yangu nkiwa Form Six nikijiandaa na mitihani baada ya kutuchanganyia madesa !!Hivi tangu Awe madalakani (waziri)wewe umeona kafanya nin cha maana??
Tuulzane kuna wakati napataga hasira nikiskia tu jina!!Am sorry kwa fans wake ni Waziri wetu kweli Ebu orodhesha hapo vya maana alivofanya !!Twende sambamba
Tuulzane kuna wakati napataga hasira nikiskia tu jina!!Am sorry kwa fans wake ni Waziri wetu kweli Ebu orodhesha hapo vya maana alivofanya !!Twende sambamba