Mama: Mwanangu hebu chukua simu umpigie babako umwambie chakula kiko tayari.
(Mtoto kachukua simu kisha kampigia babake)
Mama: Mwanangu babako kasemaje?
Mtoto: Aahh, mama simu ya baba ilipokelewa na mwanamke sio Baba.
Mama: Subiri arudi atanitambua Leo.
(Kidogo kidogo hivi baba akarudi nyumbani, alipoingia tu akakutana na Sufuria ya Kichwa, Kabla akae kwenye kiti akapewa Kofi ya Mwiko. Kisha Mama kamuuliza Mtoto)
Mama: Mwanangu ulivyo mpigia babako simu huyo Mwanamke aliyeipokea alisema Nini?
Mtoto: Alisema
*_"Samahani Mteja Wa Nambari Uliyo Piga Hapatikani Kwa Sasa!!
(Mtoto kachukua simu kisha kampigia babake)
Mama: Mwanangu babako kasemaje?
Mtoto: Aahh, mama simu ya baba ilipokelewa na mwanamke sio Baba.
Mama: Subiri arudi atanitambua Leo.
(Kidogo kidogo hivi baba akarudi nyumbani, alipoingia tu akakutana na Sufuria ya Kichwa, Kabla akae kwenye kiti akapewa Kofi ya Mwiko. Kisha Mama kamuuliza Mtoto)
Mama: Mwanangu ulivyo mpigia babako simu huyo Mwanamke aliyeipokea alisema Nini?
Mtoto: Alisema
*_"Samahani Mteja Wa Nambari Uliyo Piga Hapatikani Kwa Sasa!!