Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Katika kuamua kufichua mauaji ya polisi wetu bomoabomoa ya Madale na maeneo mengine mambo ya ajabu yamegundulika, Mama mmoja amefunikwa na kupondwa pondwa na katapila yeye na familia yake pindi walipojifungia ndani ya nyumba yao ili kunusuru isibomolewe na askari polisi.
Habari hizi ni za kweli na za kuhuzunisha sana. Kama mwanahalisi lingekuwepo habari hii ingepatikana vizuri kwa kina. Inauma sana na huu sio uungwana haki yote ipatikane damu ya mama huyu na watoto wake ndio ililia na kuumbua wanahabari ambao hununuliwa.
Kamwe hatutanyamaza tutapaza sauti ulimwengu ujue hata kama polisi wameenda kuondoa ushahidi tutasema tuuuuuu. Mauaji ya mama huyu na ya watu wengine hayavumiliki.
inna lilay wailay lilay rajuun
Habari hizi ni za kweli na za kuhuzunisha sana. Kama mwanahalisi lingekuwepo habari hii ingepatikana vizuri kwa kina. Inauma sana na huu sio uungwana haki yote ipatikane damu ya mama huyu na watoto wake ndio ililia na kuumbua wanahabari ambao hununuliwa.
Kamwe hatutanyamaza tutapaza sauti ulimwengu ujue hata kama polisi wameenda kuondoa ushahidi tutasema tuuuuuu. Mauaji ya mama huyu na ya watu wengine hayavumiliki.
inna lilay wailay lilay rajuun