TANZIA Mama mzazi wa Tuly Nasa (Kada wa Chadema aliyefariki wiki iliyopita) naye afariki dunia

Hapa huenda ilikuwa too late hata kuvaa barakoa. Kama ni mwanae basi kuna possibility kubwa alikuwa anamuuguza (kama walikuwa wanaishi wote) hivyo pengine alikwisha ambukizwa. Anyways sipingi wazo lako la kuvaa barakoa ila nimechangia kuonyesha huu ugonjwa unavyokuwa deadly kama hauna muongozo mzuri kutoka serikalini.

Tukiendelea kusubiria muongozo kutoka serikalini tutakwama sana.
CDM wanapiga kelele kila siku kuhusu uwepo wa huu ugonjwa na kuilaumu serikali kwa kutochukua hatua, nilitegemea wawe mfano wa kuigwa inapotokea tukio linawahusu kwa kuzingatia na kufuata taratibu zote za kuzuia maambukizi ya huu ugonjwa.

ACT nao walitangaza kiongozi wao kupata haya maambukizi awali kabisa ( Mungu Amrehem) lakini cha ajabu msisitizo wa namna ya kuendesha shughuli za mazishi na uhusishwaji wa waombolezaji haukutiliwa mkazo na chama kuzingatia maambukizi zaidi wakati wa zoezi zima, hasa maambukizi kati ya waombolezaji.

Hii inaonyesha namna gani hata wanaopiga kelele wanaleta siasa kwenye hili janga.

Pole kwa wafiwa wote na walioguswa na huu msiba.
 
Usisikie kufiwa na mwana ama mzazi wewe.
Ni rahisi kuchukulia Poa iwapo si wewe lakini.
Wewe ndiye wa kwanza kufiwa?.
Hawa tulio nao wanaopoteza watoto, wazazi huku hawana uchungu au kuna tofauti ya msiba?
 
Tukiendelea kusubiria muongozo kutoka serikalini tutakwama sana.
CDM wanapiga kelele kila siku kuhusu uwepo wa huu ugonjwa na kuilaumu serikali kwa kutochukua hatua, nilitegemea wawe mfano wa kuigwa inapotokea tukio linawahusu kwa kuzingatia na kufuata taratibu zote za kuzuia maambukizi ya huu ugonjwa.

ACT nao walitangaza kiongozi wao kupata haya maambukizi awali kabisa ( Mungu Amrehem) lakini cha ajabu msisitizo wa namna ya kuendesha shughuli za mazishi na uhusishwaji wa waombolezaji haukutiliwa mkazo na chama kuzingatia maambukizi zaidi wakati wa zoezi zima, hasa maambukizi kati ya waombolezaji.

Hii inaonyesha namna gani hata wanaopiga kelele wanaleta siasa kwenye hili janga.

Pole kwa wafiwa wote na walioguswa na huu msiba.
Serikali ipo kuwahudumua wananchi. Unasemaje mtumishi tuliyemwajiri kuwa tusisubiri afanye kazi tuliyompa? Sasa yuko pale kwa ajili gani? Pengine wewe ni umesoma na uko informed vizuri kuhusu huu ugonjwa. Je waliopo vijijini na wanayoiamini na kuitegemea serikali nani atawapa mwongozo? Vyama vya siasa unavyovilaumu haviwezi kutoa miongozo kwani mazishi yanahudhuriwa na watu wa aina mbali mbali na kutoka kila vyama. Namna anavyozikwa marehemu inakuwa ni jukumu la familia na siyo vyama vya siasa. Kwenye familia kuna members wa vyama mbali mbali. Miongozo ingekuwa imewekwa na serikali ingekuwa na nguvu kwani ingekuwa ni sheria. Tatizo sasa hivi ni kuwa hakuna mwongozo wowote kutoka serikalini.
 
Serikali ipo kuwahudumua wananchi. Unasemaje mtumishi tuliyemwajiri kuwa tusisubiri afanye kazi tuliyompa? Sasa yuko pale kwa ajili gani? Pengine wewe ni umesoma na uko informed vizuri kuhusu huu ugonjwa. Je waliopo vijijini na wanayoiamini na kuitegemea serikali nani atawapa mwongozo? Vyama vya siasa unavyovilaumu haviwezi kutoa miongozo kwani mazishi yanahudhuriwa na watu wa aina mbali mbali na kutoka kila vyama. Namna anavyozikwa marehemu inakuwa ni jukumu la familia na siyo vyama vya siasa. Kwenye familia kuna members wa vyama mbali mbali. Miongozo ingekuwa imewekwa na serikali ingekuwa na nguvu kwani ingekuwa ni sheria. Tatizo sasa hivi ni kuwa hakuna mwongozo wowote kutoka serikalini.

Umeisikia kauli ya Rais wakati wa kuuaga mwili wa Bslozi Kijazi?

Ikiwa ACT waliweza kuutangazia umma kwamba viongozi wao wamepata maambukizi na kuthibitisha hilo, haikua bora zaidi kufanya hivyo wakati wa msiba pia?

Naomba tuelewane, hatupo hapa kubishana wala kunyoosheana vidole, ndugu wa marehem wanaelewa zaidi ndugu yao kimemsibu kipi kuliko hata serikali, unataka kusema wao kuchukua tahadhari kujilinda ni kosa kisa serikali haijatoa tamko?

Licha ya viongozi na waombolezaji wengi kutovaa barakoa kwa msiba wa Balozi Kijazi, ndugu na wanafamilia wote walivaa, hiyo nayo ilihitaji tamko?

Nimetaja vyama vya siasa na wanaharakati kwakuwa wamekua mstari wa mbele kutoa matamko na kukosoa sana, lakini inapotokea tatizo upande wao ambapo inategemewa waonyeshe mfano, mambo yanakua tofauti, hii inafanya hoja zao zionekane kelele na siasa tu.
 
Umeisikia kauli ya Rais wakati wa kuuaga mwili wa Bslozi Kijazi?

Ikiwa ACT waliweza kuutangazia umma kwamba viongozi wao wamepata maambukizi na kuthibitisha hilo, haikua bora zaidi kufanya hivyo wakati wa msiba pia?

Naomba tuelewane, hatupo hapa kubishana wala kunyoosheana vidole, ndugu wa marehem wanaelewa zaidi ndugu yao kimemsibu kipi kuliko hata serikali, unataka kusema wao kuchukua tahadhari kujilinda ni kosa kisa serikali haijatoa tamko?

Licha ya viongozi na waombolezaji wengi kutovaa barakoa kwa msiba wa Balozi Kijazi, ndugu na wanafamilia wote walivaa, hiyo nayo ilihitaji tamko?

Nimetaja vyama vya siasa na wanaharakati kwakuwa wamekua mstari wa mbele kutoa matamko na kukosoa sana, lakini inapotokea tatizo upande wao ambapo inategemewa waonyeshe mfano, mambo yanakua tofauti, hii inafanya hoja zao zionekane kelele na siasa tu.
Mbona unang'ang'ania neno tamko tu? Watu hawahoji tamko la kuvaa barakoa tu. Kupigana na corona ni zaidi ya kuvaa barakoa. Kwa taarifa yako hata kama serikali iseme kuvaa barakoa leo ni lazima na asiyevaa atafungwa kifungo cha maisha, bila kuchukuwa hatua nyingine ni bure! Je unafahamu kuwa hata hizo barokoa kusipokuwa na kampeni kubwa ya kuelekeza namna sahihi ya kuzitumia ni kama kazi bure? Kupigana na corona mkusanyiko wa mbinu mbali mbali na siyo tamko la barakoa tu. Na hapa sisemei lockdown ambayo imetumiwa sana na serikali ili kuwahadaa wananchi. Jaribu kusoma uwe informed nchi nyingine zinatumia njia gani kupambana na kuenea kwa virus na using'ang'anie tu matamko na barakoa.
 
Watu wanapukutika sio mchezo...mtu hujui kesho yako....tuendelee kuchukua tahadhari zote ndugu zanguni...maharusi, misibani, bar, sinema, disco, masokoni n.k sehemu hizi ni hatari zaidi na hakuna mtu anaejali.
 
Back
Top Bottom