Nyamaza wewe! hujui upelelezi unavyofanya kazi. popote duniani hao ndugu zake lazima wangebebwa tu.uonevu mkubwa sana ,mtu wao kauawa na wao wapo ndani
Sawa kamanda SiroNyamaza wewe! hujui upelelezi unavyofanya kazi. popote duniani hao ndugu zake lazima wangebebwa tu.
Sasa ili upelelezi ukamilike si wangekamata na Polisi pia,Siro awekwe ndani ili upelelezi uende vizuri. Yeye km bosi wa polisi ili asaidie upelelezi, Nasema uongo ndugu yangu?Nyamaza wewe! hujui upelelezi unavyofanya kazi. popote duniani hao ndugu zake lazima wangebebwa tu.
Na ndio chuki inapozidi hapoHili swala Polisi wasipokamatana wao kwanza itakua ni uongo ,upelelezi lazima ubalance jamii inashout hivi halafu Polisi wanajifanya kukataa kusikia sauti ya jamii
inatakiwa akukate kidole kimoja kimoja halafu akuambie tafunaa na umezeGaidi anatakiwa afanye nini na nini ili aitwe gaidi?
Mh hatari sana nilikua sijuiinatakiwa akukate kidole kimoja kimoja halafu akuambie tafunaa na umeze
Hamza the great,kada wa ccm toka ilalaMama na dada wa yule gaidi katili Hamza Mohamed wameachiwa na polisi huku watu wengine watano wakiendelea kushikiliwa.
Hamza Mohamed alifanya mauaji ya kutisha kabla ya kuuawa kwake pale salenda darajani.
Source: Mwananchi