Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Mama huyo kutoka Uganda amelalamika vyombo vya habari kuingilia mambo yake ya ndani sana
Vyombo hivyo vimesema maneno mengi kuhusu mumewe ambayo siyo ya kweli na sasa mumewe amaemuambia atoe jina lake kwenye midomo ya watu la sivyo atamuua kutokana na waandishi wa habari kuweka chumvi kwenye mambo aliyoyasema
Amekuwa akipokea simu nyingi na ikiwemo wanaume wanaomtaka wakimuambia wamuoe ili wamsaidie kutunza watoto wake lakini yeye anasema haitaji mwanaume kwa sasa
Watoto 29 wapo shule ya msingi na 7 sekondari, ameamua kuwaweka shule moja sababu mkuu wake wa shule anamfahamu vyema na hawezi kuwafukuza wakikosa ada
Jumla ya karo zao kwa shule ya msingi ni dola 2850 kwa mhula
Chanzo: Azam news
Vyombo hivyo vimesema maneno mengi kuhusu mumewe ambayo siyo ya kweli na sasa mumewe amaemuambia atoe jina lake kwenye midomo ya watu la sivyo atamuua kutokana na waandishi wa habari kuweka chumvi kwenye mambo aliyoyasema
Amekuwa akipokea simu nyingi na ikiwemo wanaume wanaomtaka wakimuambia wamuoe ili wamsaidie kutunza watoto wake lakini yeye anasema haitaji mwanaume kwa sasa
Watoto 29 wapo shule ya msingi na 7 sekondari, ameamua kuwaweka shule moja sababu mkuu wake wa shule anamfahamu vyema na hawezi kuwafukuza wakikosa ada
Jumla ya karo zao kwa shule ya msingi ni dola 2850 kwa mhula
Chanzo: Azam news