Mama mwenye nyumba

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,059
4,055
Kila nikipishana nae lazima ajigusishe ziwa lake mwilini mwangu au anipige na kalio na mara nyingine mkono wake anauleta huku maeneo nyeti.
leo nlipokuwa natoka home kuja job kanipiga kibao fulani huku ikulu hadi nikahisi maumivu, akasema ni bahati mbaya imetokea wakati wa kupishana.
je nimfanye nini Mndengereko huyu?
 
Kila nikipishana nae lazima ajigusishe ziwa lake mwilini mwangu au anipige na kalio na mara nyingine mkono wake anauleta huku maeneo nyeti.
leo nlipokuwa natoka home kuja job kanipiga kibao fulani huku ikulu hadi nikahisi maumivu, akasema ni bahati mbaya imetokea wakati wa kupishana.
je nimfanye nini Mndengereko huyu?
Kama ni mndengereko, uguswaye na ufahamu...Body language inawsilisha ujumbe kaka...sasa kama hujawahi kunyofolewa nyeti jaribu kurespond positively!...usidanganyike kuwa baba mwenye nyumba ni dereva wa magari makubwa ya Lubumbashi ...lol!
 
Kila nikipishana nae lazima ajigusishe ziwa lake mwilini mwangu au anipige na kalio na mara nyingine mkono wake anauleta huku maeneo nyeti.
leo nlipokuwa natoka home kuja job kanipiga kibao fulani huku ikulu hadi nikahisi maumivu, akasema ni bahati mbaya imetokea wakati wa kupishana.
je nimfanye nini Mndengereko huyu?

Hebu tufafanulie kidogo hapo
 
Kila nikipishana nae lazima ajigusishe ziwa lake mwilini mwangu au anipige na kalio na mara nyingine mkono wake anauleta huku maeneo nyeti.
leo nlipokuwa natoka home kuja job kanipiga kibao fulani huku ikulu hadi nikahisi maumivu, akasema ni bahati mbaya imetokea wakati wa kupishana.
je nimfanye nini Mndengereko huyu?

Mumewe alishakuona unavyo mmezea mate mkewe, kamwambia ahakikishe anakupata then mumewe atakupandia juu... shauri yako.. kaa chonjo!! nakushauri hama hiyo nyumba la si hivyo..waweza olewa humo!
 
Kila nikipishana nae lazima ajigusishe ziwa lake mwilini mwangu au anipige na kalio na mara nyingine mkono wake anauleta huku maeneo nyeti.
leo nlipokuwa natoka home kuja job kanipiga kibao fulani huku ikulu hadi nikahisi maumivu, akasema ni bahati mbaya imetokea wakati wa kupishana.
je nimfanye nini Mndengereko huyu?
MKUU mimi nakushauri uhame hiyo nyumba halafu jaribu kuepuka kuwa nae karibu, atakuharibu, na atakuharibishia pia. Inaonekana na wewe uko karibu sana na huyo mama, mara kalio, mara akupige Ikulu. Achana nae.
 
Chunga utaja kojoa dagaaa. Burudika nae then hama fasta siku inayofuata tena tuma mtu aje akuchukulie vyombo vyako wewe usin'gae tena pale.
 
Kuwa serious kijana, vunja ukimya na huyo mama, mweleze hutaki mzaha, ata acha mwenyewe. Ila inaonekana unapenda!!!
 
Mpe nyie akina baba si hodari na ku Do out ni moja ya uanaume wenu , unauliza nini sasa si ufahari kwenu??????
 
Kama una mpango wa kumrukia mrukie tu ila kama hutaki hama kwenye hiyo nyumba utakuja ondoka kwa aibu wenye nyumba wana vituko sana
 
Mpeleke mpenzi wako ukae nae hata siku mbili tatu. Labda mother house ameona una unyege.
 
Kabla ya kukushauri kwanza sema mumewe huyo mama yuko wapi?na huyo mama yukoje ki muonekano na kitabia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom