''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,034
WAKUU,
HABARINI ZA MAJILIO?

naomba mawazo yenu katika muendelezo ule ule wa ''kuelezana ukweli unaohuzunisha''.....

ASSUMING KWAMBA SITUATION IMETOKEA HIVYO na baba mwenye nyumba ameamua kuwa na ''mpango wa kando'' kwa sababu zozote zile,mi nataka tupeane mawazo kwamba hivi ni nani anaeinjoi mapenzi zaidi ya mwenzake kati ya:

1)-MAMA MWENYE NYUMBA

-ambaye ndo mke wako wa ndoa
-ambaye ndo yuko responsible bega kwa bega na wewe katika kuikuza familia
-ambaye anavumilia kwa hali yoyote ile muda wowote ule utakao amua kurudi
-ambaye muda wote wa usiku wa giza anakuwa na mawazo kibao kwamba ''mume wangu amepatwa na nini''
-ni mke wako ''enewei'' na she is entitled to whatever is brought for the family
-ambaye utakata roho ukiwa mikononi mwake

2)-MPANGO WA NJE.
-she is entitled to kampani,route na vikao vyote vya pombe/movie etc
-anapewa nafasi ya kuagiza chochote anachotaka mkiwa baa
-anapewa nafasi ya kupelekwa shoping na kujiagizia chochote
-anakuwa na uhakika wa credits,means za tranzport (hata kumrash home kila siku sio ishu)
-anapewa nafasi adimu ya kuchat na wewe 24/7
-anapewa nafasi ya kudeka anavyotaka
-anapewa nafasi ya kunisindikiza arusha kuungana na pakajimi na kampani kubwa ya jf ya ARACHUGA


TUSAIDIANE HAPO MAWAZO,who is enjoying?
....and why?
 
Mkuu of course "MPANGO WA NJE" wa nje ndiye anaye enjoy fruits kwasababu huyo yuko radhi kukufanyia mambo ambayo "MAMA MWENYE NYUMBA" hawezi kukufanyia hana bughudha kwako she's ready for anything.

"MPANGO WA NJE" ndio unakuwa una enjoy THE FRUITS OF YOUR LABOUR
 
Mkuu of course "MPANGO WA NJE" wa nje ndiye anaye enjoy fruits kwasababu huyo yuko radhi kukufanyia mambo ambayo "MAMA MWENYE NYUMBA" hawezi kukufanyia hana bughudha kwako she's ready for anything.

"MPANGO WA NJE" ndio unakuwa una enjoy THE FRUITS OF YOUR LABOUR
if that being the case........!kwanin wanawake wanadhani NDOA ni ni nzuri?
 
Mkuu of course "MPANGO WA NJE" wa nje ndiye anaye enjoy fruits kwasababu huyo yuko radhi kukufanyia mambo ambayo "MAMA MWENYE NYUMBA" hawezi kukufanyia hana bughudha kwako she's ready for anything.

"MPANGO WA NJE" ndio unakuwa una enjoy THE FRUITS OF YOUR LABOUR

Samahani...
Hayo mambo ambayo mama mwenye nyumba hawezi kufanya ni kama nini vile...?!
 
if that being the case........!kwanin wanawake wanadhani ndoa ni ni nzuri?

unajua wanawake wengi huwa wana "fantasize" sana kuhusu ndoa wanasahau yale magumu watakayokumbana nayo kwenye ndoa na ndio maana mwanamke akiona mwenzake ameolewa leo naye atafanya jitihada za haraka sana ili naye aolewe less than a year or after a year ili mradi tu naye aonekane yuko ndani ya ndoa
 
samahani...
hayo mambo ambayo mama mwenye nyumba hawezi kufanya ni kama nini vile...?!

kwa kukusaidia smiles hebu nenda kaulize wale wanaochukua waume za watu they will tell you, kuna baadhi ya mambo siwezi kuyaanika hapa hadharani like the way you have requsted
 
unajua wanawake wengi huwa wana "fantasize" sana kuhusu ndoa wanasahau yale magumu watakayokumbana nayo kwenye ndoa na ndio maana mwanamke akiona mwenzake ameolewa leo naye atafanya jitihada za haraka sana ili naye aolewe less than a year or after a year ili mradi tu naye aonekane yuko ndani ya ndoa
hiyo mbaya sana.......

kama wanawake ndo huwa wanaforce ndoa basi hata wanapoumizwa WHO SHOULD THEY BLAME?wangekaa hivyo hivyo wakawa mpango wa nje
 
kwa kukusaidia smiles hebu nenda kaulize wale wanaochukua waume za watu they will tell you, kuna baadhi ya mambo siwezi kuyaanika hapa hadharani like the way you have requsted

Ok! Basi ni-PM unielezee vizuri maana itakuwa kazi kidogo mimi kuwa-identify hao wanaochukua waume za watu afu nikawafata! Hawapendagi kujulikana ujue? Sasa mi ntawajuaje...? Itabidi tu unielezee....
 
Hivi TEAMO hii 'MAMBO YA NJE' unamaanisha 'NJE CUP' au?

Mimi naona bora 'MAMBO YA NDANI' siku moja moja unaigeuza inakuwa 'MAMBO YA NJE'
 
kwa kukusaidia smiles hebu nenda kaulize wale wanaochukua waume za watu they will tell you, kuna baadhi ya mambo siwezi kuyaanika hapa hadharani like the way you have requsted
ofkoz kama ukiyaanika hapa acid akija ataomba thread iende kwa ''maria roza''....hebu mpiemu
 
Back
Top Bottom