mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,251
Teh Teh hah hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa dahkwanini hukuota unalipa kodi ya nyumba?
Teh Teh hah hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa dahkwanini hukuota unalipa kodi ya nyumba?
Kwani wewe ni mwanamke ama mwanaume ?hiyo ni ndoto tu
Ama kweli angali cjui unakwenda na laptop au cm ya mkononi?angalia icje ikaingia maji au utakua unaikumbuka avatar ya FL1 we nae umo but hauvumi X MAS njemaKwa hiyo avatar yako FL1, hivi sasa naelekea bafuni na kipande changu cha sabuni, yaani, we acha tu!
acha kumuwaza mama mwenye nyumba wako mpaka unamuota
Inaweza kuwa kweli mmh make kodi za nyumba zinapanda mwakani coz khali ya maisha c shwarilabda anamdai so katika kuwaza atamlipa lini ndo yakaja hayo
Kwa hiyo avatar yako FL1, hivi sasa naelekea bafuni na kipande changu cha sabuni, yaani, we acha tu!
Katika khali icyo ya kawaida ucku wa kuamkia leo nimejikuta nikimuota mama mwenye nyumba nikiibanjua amri ya 6.na wakati nimeamka nakwenda mawaliton nikamkuta uani nikajkuta nainamisha kichwa kwa aibu je ni ndo 2 au inaukwel ndani yake?NISAIDIENI JAMANI.
Inaelekea unampenda mama mwenye nyumba wako. au ni ndoto tuu.
Hapo kutamu kweli na kodi ya pango hulipi tena.ongeza bidiiKulaa leki mtu wangu hapo pagumu kwani ni kweli ulimbanjua lakini we unaona kama ndoto kwani alikujia kijini jini!!! Aisee meku nenda kwa kakobe akakuombee au hama huo mtaa kwani ameshakupenda na kamchezo kameanza.