5997
JF-Expert Member
- Jan 19, 2019
- 514
- 1,204
Asalaam aleykum
Wahleik msalaam
Ndugu wapendwa imekua ni kasheshe na mvurugano pale ambapo mama mwenye nyumba akiwa ananikuta na demu,
Akinikuta nimesimama nae barabarani anachukia sana
Nikija na msichana ndani kwangu hata kama ni rafiki yangu ndio basi kabisa atachukia wiki nzima maneno kibao ya kipumbavu,
Mama mwenyewe ni bibi kizee
Ushauri wenu nimfanyeje mimi au siku moja nimchape vibao ndio anijue kua mimi sio wakuja?
Wahleik msalaam
Ndugu wapendwa imekua ni kasheshe na mvurugano pale ambapo mama mwenye nyumba akiwa ananikuta na demu,
Akinikuta nimesimama nae barabarani anachukia sana
Nikija na msichana ndani kwangu hata kama ni rafiki yangu ndio basi kabisa atachukia wiki nzima maneno kibao ya kipumbavu,
Mama mwenyewe ni bibi kizee
Ushauri wenu nimfanyeje mimi au siku moja nimchape vibao ndio anijue kua mimi sio wakuja?