Mama: Mwanangu ukioa usimuoe mwanamke wa namna hii!!

MLALUKO JR

JF-Expert Member
May 3, 2015
962
305
Habarini wa JF.
Napenda kubadilishana uelewa juu ya dhana ya kuoa mwanamke mnayelingana nae uwezo (kikazi) mfano;daktari kwa daktari na teacher kwa teacher.
Je,kuna uhalisia wowote kuwa Mara nyingi mke anakuwa hana heshima na uthamini kwako???

Maana hiyo ni kauli niliyosikia mzazi akimwambia mwanae ambaye ni daktari ambaye ana mchumba daktari pia kuwa"Mwanangu usioe mwanamke unayelingana nae hadhi kimaisha,ni bora uoe mwalimu wa shule ya msingi"

Kibinafsi ushauri ule huwa unajirudia kichwani japo mlengwa ckuwa Mimi.

Note:Nionavyo walimu wa shule za msingi wanaweza kuwa na nafasi kubwa kuolewa kwa kuwa wao muda mwingi watakuwa krbu na familia yake!

Karibuni mnifungue macho,kwa wenye uzoefu na hilo!!
 
Habarini wa JF.
Napenda kubadilishana uelewa juu ya dhana ya kuoa mwanamke mnayelingana nae uwezo (kikazi) mfano;daktari kwa daktari na teacher kwa teacher.
Je,kuna uhalisia wowote kuwa Mara nyingi mke anakuwa hana heshima na uthamini kwako???

Maana hiyo ni kauli niliyosikia mzazi akimwambia mwanae ambaye ni daktari ambaye ana mchumba daktari pia kuwa"Mwanangu usioe mwanamke unayelingana nae hadhi kimaisha,ni bora uoe mwalimu wa shule ya msingi"

Kibinafsi ushauri ule huwa unajirudia kichwani japo mlengwa ckuwa Mimi.

Note:Nionavyo walimu wa shule za msingi wanaweza kuwa na nafasi kubwa kuolewa kwa kuwa wao muda mwingi watakuwa krbu na familia yake!

Karibuni mnifungue macho,kwa wenye uzoefu na hilo!!
maneno tu mkuu, mimi na wife tunafanya kazi 1, na tunalingana mpaka cheo adi mshahara ni mtu kujielewa tu.
 
Mama wants a daughter in law who is submissive to her husband, a career woman enters marriage as an equal partner and friend who is ready to share up and downs with the person she has chosen.

There are cons and proms on both ends, a submissive woman will never ask for your where about, she will have time to be a home keeper, your socks will be washed, shirts ironed, fresh and warm meals will be available. A career woman will never have time for much of domestic chaos, though both of you can find an alternative, a career woman will want to know your where about, as a friend you will discuss your work and life concerns and solve them together.

Another advantage of a submissive woman in most cases is a religious person, though career women can be prayer worriers too. End of the day it is up to you to decide on which pair of shoes to put on.
 
Hapa kinachozungumziwa ni aina ya kazi na utofauti wa kipato baina ya mume na mke, kwa jamii nyingi za kiafrika ama tz mara nyingi KE akiwa na kipato sawa ama kamzidi ME kuna dharau fulan inakuwepo tena kutoka ndan ama nje sometimes ukitokea mkwaruzano kidogo watu wa nje ama ndugu utawasikia wakimwambia asikubabaishe kama hela na ww unayo kama yy au umemzidi kwa hiyo generally heshima inapungua BUT MM NAAMIN utofauti wa kipato sio kikwazo as long as KE kama anajitambua anajiheshimu na anaelewea nafasi ya ME kwenye familia na sio kipato chake
 
Habarini wa JF.
Napenda kubadilishana uelewa juu ya dhana ya kuoa mwanamke mnayelingana nae uwezo (kikazi) mfano;daktari kwa daktari na teacher kwa teacher.
Je,kuna uhalisia wowote kuwa Mara nyingi mke anakuwa hana heshima na uthamini kwako???

Maana hiyo ni kauli niliyosikia mzazi akimwambia mwanae ambaye ni daktari ambaye ana mchumba daktari pia kuwa"Mwanangu usioe mwanamke unayelingana nae hadhi kimaisha,ni bora uoe mwalimu wa shule ya msingi"

Kibinafsi ushauri ule huwa unajirudia kichwani japo mlengwa ckuwa Mimi.

Note:Nionavyo walimu wa shule za msingi wanaweza kuwa na nafasi kubwa kuolewa kwa kuwa wao muda mwingi watakuwa krbu na familia yake!

Karibuni mnifungue macho,kwa wenye uzoefu na hilo!!
Inawezekana bi mkubwa anahofia itakavyokuwa ikitokea wote wako shift ya usiku nani atabaki na familia? Ila kwa maana ya kipato sio issue, suala ni kujielewa na kujitambua tu hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom