Field Marshall Es, maneno mazuri mkuu wangu mazito na kweli tupu. hadi hapo tutakapoweza kuweka sheria kuzuia ajira za Undugunization kama ya UN ama Taasisi nyinginezo, hakuna aliyevunja sheria na itaendelea kuwa tabia ya mwafrika.
Wenzetu nchi za nje hufanya haya (ajiri ndugu) ktk biashara binafsi kwani hapo pekee ndipo undugu hufanya kazi vizuri.
Wenzetu nchi za nje hufanya haya (ajiri ndugu) ktk biashara binafsi kwani hapo pekee ndipo undugu hufanya kazi vizuri.