Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Vumilia. Ndio matatizo ya kuoa makabila tofauti. Tamaduni tofauti. Ukioa mke wa pili oa kabila lako.
😂😂😂😂Zichukue uwe unazinusa
😂😂😂😂😂na wewe kaanike boxer yako,moja kushoto na nyingine kulia,yake iwe katikati
Huenda ameshuhudia au saizi ni kubwa kuliko za mkewe😂😂😂😂 amekuta zile XXL kwenye kamba😂, hapa najiuliza sijui jamaa huwa anashinda nyumban🤔🤔Umejuaje hizo chupi ni za mkweo?
Huenda chupi saizi zimemchanganya😂😂😂😂😂Kah! Kwani cha ajabu hapo ni nini? Chupi au mama mkwe?
atakuwa kamuonja mama mkwe huyuUmejuaje kua ni chupi zake?
Kiafya wanawake wanashauriwa waanike kufuli zao kwenye jua mambo ya kuanika ndani hazikauki vizuri mara nyingine zinaota fungus na kuwaletea magonjwa.Mi nadhani ukiwa bize unatoka asubuh na kurudi jioni sidhani hata hizi chupi utakuwa unaziona, utakuwa unakuta ameishazianua😂😂
Zichukue uwe unazinusa