Mara anaskia ma mkwe anasema aende tu mi nipo mwanangu ntakuwa nakupikiaMwambie mkeo akapumzike kwao uone kama mama mkwe atabaki.....
Namwambia mi nasafiri kikazi ntarudi baada ya miezi mitatu...akiendelea kung'ang'ania ntajua anataka ukuniMara anaskia ma mkwe anasema aende tu mi nipo mwanangu ntakuwa nakupikia
Mzazi anahamiaje nyumbani kwa watoto. Katika hili mimi siwezi kukubaliNikuambie kitu mkuu, huyo mama amekuja kusaidia uzazi, unatakiwa kwanza ushukuru kwa msaada aliofanya. Najua wakati mwingine hizi nyumba zetu inakuwa ngumu kuwa na idadi kubwa ya watu coz space yaweza kuwa ndogo na uhuru wako pia.
Lakini likija swala la wazazi (iwe wa upande wako au wa mkeo), jaribu sana kuishi nao kama wa kwako, ukiweka matabaka namna hiyo hata siku akija mama mzazi mkeo anaweza kusema siwezi kuishi na mama yako.
Hawa ni wazazi wetu, baadhi hawapendi kabisa kukaa kwa watoto mda mrefu(wanajua madhara yake), wale ambao hawaelewi basi twende nao hivyo tu.
Mama mkwe anatunzwa akiwa kwake km bado anajiweza, hayo ndo matunzo mazuri bila kelele, hata mkwe hachoki kumhudumia, akija salimia wiki inatosha anaenda, ameumwa anachukuliwa anapata matibabu akipona anarudi kwakeHuyo ni mama yako bro. Na kwa vile hana mume basi mtunzeni tu.
Dada nimekupenda Bure maana unaakili sana...Ila ujue km kipato ni cha kawaida biashara sio ya kukurupukia sjui mtaji atatoa wapi gafla ili atatue ilo tatizo
una kitambi?
Kaa tumbo wazi na boxer tu subuleni huyo mama mkwe akichonga mkamate mtie mkuyati atatulia
Sio kila mzazi(familia) inafanya mnavyofanya nyie, kumbuka ulivyooa umeingia kwenye familia yenye hulka tofauti na za kwenu. Lazima ukubaliane na hali utakayoikuta. Kwa wazazi waelewa ni rahisi mno, a week or two is enough kumtembelea mtoto, lakini kama sio wa ustaarabu huo ishi na furahia maisha na wazazi wako.Mzazi anahamiaje nyumbani kwa watoto. Katika hili mimi siwezi kukubali
Ila inawezekanaje mama kuhamia kwa mkwe bana?? Ukute ndo wale wa kutoka na kanga kifuani kajifunga bila nguo nyingine, mara wapishane wagusane na mkwe koridoni khaaa iyo apana kwa kweliNikuambie kitu mkuu, huyo mama amekuja kusaidia uzazi, unatakiwa kwanza ushukuru kwa msaada aliofanya. Najua wakati mwingine hizi nyumba zetu inakuwa ngumu kuwa na idadi kubwa ya watu coz space yaweza kuwa ndogo na uhuru wako pia.
Lakini likija swala la wazazi (iwe wa upande wako au wa mkeo), jaribu sana kuishi nao kama wa kwako, ukiweka matabaka namna hiyo hata siku akija mama mzazi mkeo anaweza kusema siwezi kuishi na mama yako.
Hawa ni wazazi wetu, baadhi hawapendi kabisa kukaa kwa watoto mda mrefu(wanajua madhara yake), wale ambao hawaelewi basi twende nao hivyo tu.
Wengi wanashauri tu kwa maandishi ila kiuhalisia ata kwa upande wao hawawezi kufanya vileDada nimekupenda Bure maana unaakili sana...
Kuna watu wanafikili kufanya jambo au kuanzisha jambo ni kitu cha kuanza tu unapojisikia
Nasema tena, tumezaliwa katika familia tofauti, tunakutana na watu wenye hulka tofauti. Huenda labda hujaingia kwenye ndoa na hujapata experience ya upande wa pili. Ndoa ni "takatifu" lakini ina changamoto nyingi, na moja ya hizo ni kuweza kuishi na watu wa upande wa pili kama ndugu zako wa damu.Ila inawezekanaje mama kuhamia kwa mkwe bana?? Ukute ndo wale wa kutoka na kanga kifuani kajifunga bila nguo nyingine, mara wapishane wagusane na mkwe koridoni khaaa iyo apana kwa kweli
Hakuna wakati ambapo huwa inakuwa makini kiushauri kama nikiwa namshauri mtu aliye block. Yaani hana ramani ya maisha..maana sio wa kumlaumu na lazima ujue uwezo wake kwanza na udhaifu wake na mazingira yake..tofauti na hapo utaishia kumlaumu tu kuwa jamaa Fulani ni mvivu na anachagua kazi...Wengi wanashauri tu kwa maandishi ila kiuhalisia ata kwa upande wao hawawezi kufanya vile