Mama Mkwe hataki nifanye tendo la Ndoa na mtoto wake

weka huo uzi dada... maana sioni sababu ya kuanza kutokwa povu. na kama ime kuwa copied huko na kuja kuw apasted hapa moderators wanifungie week nzima. otherwise unapaswa tu nawe ukue ...kwa sisi wanaume huwa tukikua tunapelekwa jando miaka ya nyuma lakini. kwa wanawake wanachezwa ngoma... sasa sijui kwa maisha haya kama bado kuchezwa ngoma kwa huku mjini kupo. otherwise ni suala la kujiongeza tu na kutumia akili ndooogo sana.
Bwana mdogo mimi siyo dada!! right??
Ungetumia hiyo akili kidogo unayosema usingeandika hizo pumba zako, labda utuambie akili unazotumia ni kutoka kwenye hilo shithole...
Huu uzi ulioleta unatofauti gani na huu?
Mama mkwe anapiga simu usiku saa nne saa tano nikiwa kitandani
 
Inasikitisha sana...

Mbona ni kazi ndogo sana...

Jamaa atafute mwanamke wa kumpigiaga simu na wakapiga story kwenye mida hiyo...

Mke wake akipigiwa simu na mama yake nae anapiga simu kwa rafiki yake wa kike ananyanyuka anaenda kuongelea mbali...

Utakuja kutuambia kitakachojiri hapo...


cc: mahondaw
 
Kweli tunatofautiana.mi mama mkwe wangu msela sana!saa ingine ananiambia live nimtungue mtoto wake hadi ashindwe kuamka.ananiambia acha kuremba kwenye mchezo.tikisa vuzi hadi hadi kutema mate akitema sio ptuuuu ni bruuu
 
Kuna rafiki yake gudume ni injinia analalamika kwa gudume kwamba wakt wa usiku akiwa anageged mke wake ghafla mama mkwe wake(mama wa mke wake) anampigia simu mwanae /mke wa injinia wanaanza kupiga story kwa muda mrefu na mgegedo unaishia hapo

Sababu ya mam mkwe kupiga simu usiku ni kutaka mwanae amliwaze sababu ana upweke mmewe ameshafariki

Sasa injinia(rafk wa gudume) analalamika afanyeje kachoka tabia ya mama mkwee kupiga simu wakat wakiwa wanagegedana
 
Naona kafanya modification kwa kuongezea uhusika wake


Cc. Bongomuvies

Kuna script apa mkuje kuchukua
Bwana mdogo mimi siyo dada!! right??
Ungetumia hiyo akili kidogo unayosema usingeandika hizo pumba zako, labda utuambie akili unazotumia ni kutoka kwenye hilo shithole...
Huu uzi ulioleta unatofauti gani na huu?
Mama mkwe anapiga simu usiku saa nne saa tano nikiwa kitandani
 
Kuna rafiki yake gudume ni injinia analalamika kwa gudume kwamba wakt wa usiku akiwa anageged mke wake ghafla mama mkwe wake(mama wa mke wake) anampigia simu mwanae /mke wa injinia wanaanza kupiga story kwa muda mrefu na mgegedo unaishia hapo

Sababu ya mam mkwe kupiga simu usiku ni kutaka mwanae amliwaze sababu ana upweke mmewe ameshafariki

Sasa injinia(rafk wa gudume) analalamika afanyeje kachoka tabia ya mama mkwee kupiga simu wakat wakiwa wanagegedana
Oooho! haya Demiss asante
 
Hahaha dagh kweli mamamkwe anatamani kudeti na jamaaa Sema tyu anatafuta Njia ya kumnasa
 
Back
Top Bottom