Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,560
- 188,751
Bwana mdogo mimi siyo dada!! right??weka huo uzi dada... maana sioni sababu ya kuanza kutokwa povu. na kama ime kuwa copied huko na kuja kuw apasted hapa moderators wanifungie week nzima. otherwise unapaswa tu nawe ukue ...kwa sisi wanaume huwa tukikua tunapelekwa jando miaka ya nyuma lakini. kwa wanawake wanachezwa ngoma... sasa sijui kwa maisha haya kama bado kuchezwa ngoma kwa huku mjini kupo. otherwise ni suala la kujiongeza tu na kutumia akili ndooogo sana.
Jaman nina kazi nikimaliza nitarud maana mtihani kweli kweli usijaliCc: Demiss
Hahahaha ha ha.. weekend yangu haikuwa na kashkash ndugu yangu.... nliitumia kwa utaratibu tu nikiwa nimeitundika miguu juu na mguu mwingine unaning'inia tu umepumzika.
Sawa, na mm nipo kazini....ukimaliza na mm nitakuwa nimemaliza unisimulieJaman nina kazi nikimaliza nitarud maana mtihani kweli kweli usijali
Saa 6 kamili utakuta jibu lakoooSawa, na mm nipo kazini....ukimaliza na mm nitakuwa nimemaliza unisimulie
Mwambie azime simu mnapolala
okaySaa 6 kamili utakuta jibu lakooo
mkuu naona unaulizia utamuuAre you female?
Kuna rafiki yake gudume ni injinia analalamika kwa gudume kwamba wakt wa usiku akiwa anageged mke wake ghafla mama mkwe wake(mama wa mke wake) anampigia simu mwanae /mke wa injinia wanaanza kupiga story kwa muda mrefu na mgegedo unaishia hapookay
Naona kafanya modification kwa kuongezea uhusika wake
Bwana mdogo mimi siyo dada!! right??
Ungetumia hiyo akili kidogo unayosema usingeandika hizo pumba zako, labda utuambie akili unazotumia ni kutoka kwenye hilo shithole...
Huu uzi ulioleta unatofauti gani na huu?
Mama mkwe anapiga simu usiku saa nne saa tano nikiwa kitandani
Oooho! haya Demiss asanteKuna rafiki yake gudume ni injinia analalamika kwa gudume kwamba wakt wa usiku akiwa anageged mke wake ghafla mama mkwe wake(mama wa mke wake) anampigia simu mwanae /mke wa injinia wanaanza kupiga story kwa muda mrefu na mgegedo unaishia hapo
Sababu ya mam mkwe kupiga simu usiku ni kutaka mwanae amliwaze sababu ana upweke mmewe ameshafariki
Sasa injinia(rafk wa gudume) analalamika afanyeje kachoka tabia ya mama mkwee kupiga simu wakat wakiwa wanagegedana
OkyOooho! haya Demiss asante