Inabidi nilale wapi?? Guest??Hivi unaanzaje kulala ukweni? Mwanaume anaejielewa halali ukwen hata siku moja.
Hivi unaanzaje kulala ukweni? Mwanaume anaejielewa halali ukwen hata siku moja.
Inabidi nilale wapi?? Guest??
Hayo nilishamkanya wife kitambo. Na kunae kipindi niligombana nae kabisa kisa hiki kudodosa sababu. Wanachoamini wao mama ndo mwenye makosa.Mwambie mkeo awe na adabu na mama yake
Ndoa ya mama yake na baba yake haiwahusu asichague pande.
Yaliyobakia hayakuhusu.
Na hata mtu akikunenea mabaya jifunze kuyakataa.
Kwahyo ukienda kutembea ukwen unalala wap!?
Endelea kufunguka... inakuaje ukioa ktk familia wazazi waliachana.. nini hutokea baadae.Kusema ukweli binafsi nimeoa familia ambayo mama na baba walitengana, ila mtu akija kuniomba ushauri kijana anaetaka kuoa mtanisamehe sana ila siwezi kumshauri akaoe kwenye nyumba ambayo baba na mama walitengana, kama kifo ndio kiliwatenganisha hapo sawa ila eti baba anaishi na mama anaishi huku wametengana mimi atakaenishauri ntamwambia asioe kwenye familia hiyo. Kwa kesi ya binti kuolewa kwenye familia ambayo wazazi walitengana sina experience nayo ila kwa mwanaume kuoa binti ambae baba na mama waliaachana mazima kila mtu anaishi kwake tafadhari fikiria mara mbili there is a consequences. Kwa ntakaemkwaza anisamehe ila ukweli ndio huo
Unalala guest???Siwezi kulala ukweni isipokuwa kuna matatizo ya lazima sana kama vile msiba
To be delivered from what? Sijaelewa aisee. Mke amanahitaji deliverance???Awali ya kwanza, usimchukie mkwe upande wa baba wala Mama hata chembe. Chuki huzuia Baraka kutoka kwa Mungu. Pili kama wewe ni mtu mcha Mungu, usiwe na wasiwasi. Kumbuka katika familia kuna mgonjwa ambayo huridhiwa( generational inheritance like sickle cell, cancer, HBP, mental disorder, uchawi) magojwa na kuridhi. Kwa kithungu huitwa “family curses, generational curse” ambayo ni Mtumishi wa Mungu wa kweli ndiye anaweza kuyavunja yaani healing and deliverance. Kama mke wako hatakuwa delivered itafiki kipindi yatatokea kwako! She has to be delivered by a True Man of God na siyo siyo kwa Ma Pastor wa hivihivi. Yaani siyo kuambiwa kupanda mbegu ndo aombewe, not at all. Mchungaji wa kweli hadai hata senti moja kabla au baada ya deliverance, ni free of charge. Kama unataka msaada mtafute Mama Brandina Nyoni ambaye wakati fulani alikuwa Katibu Mkuu wa wizara, moja utapata maelekezo. Hii ni kwa faida yako ya familia yako else hiyo curse itawafika.
Sipend kulala ukwen.. ila naanzaje kulala guest?Ndio, ili kutunza heshima yako
Mfano, tunaishi dar. Home kwetu mimi ni mbeya. Na ukweni ni ifakara..Guest au kwenu kama ni karibu kama hamna guest ni bora kulala hata kwa jiran, wachaga wanaelewa hili vizur
Shukran bro.Fanya yako. Tengeneza ndoa yako na maisha yako, ishi vizuri na mkeo.
Hata mimi niliambiwa kama wewe ulivyoambiwa, mwaka wa 10 huu ndoa bado ina amani tele. Waliokua wanasubiri tugombane, bado wanahesabu miaka.
Changamoto kwenye ndoa hazikosekani; Lakini waamuzi wa kwamba ndoa yao iwe na amani kwa muda gani ni wanandoa wenyewe, si mtu mwingine yoyote wa nje Clinker belite
Nimekuelewa sanaaa mkuu....kupitia maelezo yako kuna kitu nimejifunza,upo sahihi kabisa.Kusema ukweli binafsi nimeoa familia ambayo mama na baba walitengana, ila mtu akija kuniomba ushauri kijana anaetaka kuoa mtanisamehe sana ila siwezi kumshauri akaoe kwenye nyumba ambayo baba na mama walitengana, kama kifo ndio kiliwatenganisha hapo sawa ila eti baba anaishi na mama anaishi huku wametengana mimi atakaenishauri ntamwambia asioe kwenye familia hiyo. Kwa kesi ya binti kuolewa kwenye familia ambayo wazazi walitengana sina experience nayo ila kwa mwanaume kuoa binti ambae baba na mama waliaachana mazima kila mtu anaishi kwake tafadhari fikiria mara mbili there is a consequences. Kwa ntakaemkwaza anisamehe ila ukweli ndio huo
BravoMwambie mkeo awe na adabu na mama yake
Ndoa ya mama yake na baba yake haiwahusu asichague pande.
Yaliyobakia hayakuhusu.
Na hata mtu akikunenea mabaya jifunze kuyakataa.