Mama mjamzito kupitiliza siku za kujifungua imekaaje hii?

Bravius

Member
Oct 3, 2014
23
8
Wanajamii wenzangu poleni na majukumu ya maendeleo

Mke wangu ni mjamzito wa wiki 42 n sawa na miezi 10 na wiki 2 lakini hanatatizo la haina lolote kwa kipindi xhochote na nmecheki ultrasound takribani Mara mbili na ya mwisho na Tarehe 10 ya mwezi huu na kuna tatizo lolote kwa mtoto na njia iko safi kabisa na baada ya ultrasound tuliyofanya tarehe ya makadilio.

Tulipewa kuanzia tarehe 10 yasizidi Masaa 48 but hadi Leo hakuna uchungu zaidi ya kuharisha kwa vipindi tofauti tofauti naombeni msaada wanajamii wenzangu najua nitapata ushauri na utaalamu nini cha kufanya asanteni.
 
Mwambie awe anakula tende punje 6 kila siku anaweza kujifunguwa ikifika siku 7 na amefululiza kula tende 6 kwa siku na hajajifunguwa nitafute mimi nipate kukupa dawa ya kujifunguwa. Ukihitaji dawa toka kwangu Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169


KULA TENDE UPATE KUZAA WEPESI.jpg
 
Mbona kimya wanajamii?
Mpeleke mkeo kwa uchunguzi zaidi. Wapo wanaopata watoto baada ya pregnancy kuwa overdue na wapo wanaopata still birth kwa watoto kukosa hewa au virutubisho vya kutosha kutokana na maumbile yao kutohimili maisha ya tumboni. Sikutishi.
 
Kwanza pole sana. Ni wakati sasa wa kuongea na daktar wa wanawake ili ukwambie nn tatzo lakn pia nenda kanisani akaomnewe maana shetan naye anaratba zake kila cku. Plzzz plzzz fanya hilo
 
Mimi nielewavyo huwa mwanamke asipojifungua wiki mbili baadaye hufanyiwa upasuaji na kumtoa mtoto. Nikimaanisha wiki ya 42 ikiisha mtoto huondolewa kwa operation.
 
Kwanza pole sana. Ni wakati sasa wa kuongea na daktar wa wanawake ili ukwambie nn tatzo lakn pia nenda kanisani akaomnewe maana shetan naye anaratba zake kila cku. Plzzz plzzz fanya hilo
N kweli ndugu kwa kanisani n muhumini sana nmeenda kwenye maombi ndugu
 
Kwanza pole sana. Ni wakati sasa wa kuongea na daktar wa wanawake ili ukwambie nn tatzo lakn pia nenda kanisani akaomnewe maana shetan naye anaratba zake kila cku. Plzzz plzzz fanya hilo
Cauz kama n vipimo vyote vimekaa vizur tu
 
Mimi nielewavyo huwa mwanamke asipojifungua wiki mbili baadaye hufanyiwa upasuaji na kumtoa mtoto. Nikimaanisha wiki ya 42 ikiisha mtoto huondolewa kwa operation.
Daaah asante sana kwa ushauri wako lakin si lazima awekewe maji ya uchungu kwanza??
 
Ni kweli, kufanyiwa operation ni lazima kuwe na indication na pregnancy kuwa overdue wakati mambo mengine kama njia, size ya mtoto, maji, mlalo wa mtoto
 
Ni kweli, kufanyiwa operation ni lazima kuwe na indication na pregnancy kuwa overdue wakati mambo mengine kama njia, size ya mtoto, maji, mlalo wa mtoto
Na kadhalika vikiwa normal si sababu ya kufanyiwa upasuaji. Hapo Daktari wake anatakiwa afanye maamuzi akiwa guided na ultra sound. Either afanye trial of labour au operation kama kuna indication
Daaah asante sana kwa ushauri wako lakin si lazima awekewe maji ya uchungu kwanza??
 
Na kadhalika vikiwa normal si sababu ya kufanyiwa upasuaji. Hapo Daktari wake anatakiwa afanye maamuzi akiwa guided na ultra sound. Either afanye trial of labour au operation kama kuna indication
In short mtoto alishageuka toka mda mrefu na njia kila kitu kiko tayari na mama n mzima tu anafanya shughuli zake ndogo ndogo anazoziweza bila shaka .but wakat mwingne kiuno kina kaza kwa mda mfupi and then kina achia pia kuna wakati mwingne napata hofu zaidi anaharisha kwa vipindi tofauti tofauti cjui tatizo nn??
 
In short mtoto alishageuka toka mda mrefu na njia kila kitu kiko tayari na mama n mzima tu anafanya shughuli zake ndogo ndogo anazoziweza bila shaka .but wakat mwingne kiuno kina kaza kwa mda mfupi and then kina achia pia kuna wakati mwingne napata hofu zaidi anaharisha kwa vipindi tofauti tofauti cjui tatizo nn??
Kiuno kukaza na kuachia ni dalili za mwanzo za uchungu. Lakini muhimu ni daktari wake kufanya maamuzi, wengi huwa wana opt kufanya induction of labour yaani kuanzisha uchungu kwa kuweka vidonge na baadae kuweka maji ya uchungu.
 
OK asante sana ndugu na imani kesho nitafanya hivyo niende kwa daktar .nitaleta marejesho hapa .
 
Nilijifungua salama nikiwa na 43 weeks na siku 3. japo wanashauri zaidi ifikapo 40 weeks ni salama zaidi, ikizidi Hadi 42 akawekewe maji ya uchungu, au afanyiwe upasuaji.
 
Mpeleke kwenye hospitali alipo pangiwa kujifungulia anakitu kinaitwa overdue tiba yake nikuanzisha uchungu (induction) au kama atakua na vigezo vingine atajifungua kwa opareshen caesarian section )
 
Nilijifungua salama nikiwa na 43 weeks na siku 3. japo wanashauri zaidi ifikapo 40 weeks ni salama zaidi, ikizidi Hadi 42 akawekewe maji ya uchungu, au afanyiwe upasuaji.
Ni kweli mtoto akizidi kukaa tumboni kuna kitu kinaitwa placenta calcification hii kondition humfanya mtoto akose nutrient na kupoteza uhai.
 
Back
Top Bottom