Waambie Mama, hivi vyombo vya habari ni shida kubwanchini. Hawajali kweli kwa sana tu maendeleo ya wananchi, hata kutupatia habari nzuri za kupaisha nchi bali udaku zaidi.
Mama Mghwila, maendeleo yapi utafanya Moshi. Umeikuta hivyo na utaiacha hivyo. Hakuna maendeleo utakayoya-initiate kwa wachaga, hawa wanajielewa. Labda upelekwe Kigoma!Aliyekuwa mwenyekiti wa ACT wazalendo Anna Mgwira amesema yeye hajapinga kuondolewa uenyekiti wa ACT wazalendo ila amepinga utaratibu uliotumika.
Hapingi utaratibu kwa ajili yake ila ni utaratibu unaotakiwa kuwa kwenye vyama vyote, kuwamteuliwa wa mkutano mkuu hutenguliwa na mkutano mkuu, mteuliwa wa halmashauri kuu pia hutenguliwa na halmashauri kuu na ACT wamefanya haraka mno na alikuwa ameshawaomba wakutane tarehe 15 lakini wakaharakisha
Amewashangaa waandishi wa habari kuchukua habari nusu na kuacha habari za muhimu kwa maendeleo
Chanzo: Millard Ayo
Moshi haiendelei kwani mkuu, ipo stagnant?Mama Mghwila, maendeleo yapi utafanya Moshi. Umeikuta hivyo na utaiacha hivyo. Hakuna maendeleo utakayoya-initiate kwa wachaga, hawa wanajielewa. Labda upelekwe Kigoma!
Huyu mama mtu mzima ovyo.Kwani yeye alivyokubali haraka haraka kuwasaliti wenzie alifuata utaratibu?
Hujanielewa, nasema wachaga ni industrious, hawahitaji mghwila kusonga mbele! Afanye kazi apate mkate wake , basi!Moshi haiendelei kwani mkuu, ipo stagnant?
Mama Mghwira tayari umeshavaa joho la chanikiwiti.
Ungefanya kuachana tu na mambo ya upinzani.
Huyu mama mtu mzima ovyo.
Ovyo sana.Huyu mama mtu mzima ovyo.
Angehamia Chadema angekuwa mama bomba haijawahi kutokea.Huyu mama mtu mzima ovyo.
Kwa mujibu wa nani na minajili ipi?Angehamia Chadema angekuwa mama bomba haijawahi kutokea.
Msaada tutani, kazi ya RC huwa ni nini? (yaani kwamba asipokuwepo, huo mkoa utakosa nini?)Tena awapotezee wote! Achape kazi tu!
Mapanya road wengne banaYaani acha tu, tena huyo mwanamke anajua sana kutunga habari zingine kwa kupost na kujijibu kwa kuchambua kama vile amepokea kutoka kwa watu...ha ha ha haaaaa
Hivi kibiti imekuwaje¿? Mwigulu bado yukoFanya kazi mama, achana na EISITII
Mpiga zeze umepotea kabisa dadeki walahi!Msaada tutani, kazi ya RC huwa ni nini? (yaani kwamba asipokuwepo, huo mkoa utakosa nini?)