Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,987
Jamani huyu mama ni mara chache anaongelewa, sina hakika ila niko tayari kukosolewa. Nadhani huyu mama si wakuwekwa kwenye kundi la mafisadi. Amekuwa naibu waziri kwa muda mrefu na pengine kuliko wote tulo nao. Sasa wanajamvi mnamwonaje. Narudia tena nadhani sio fisadi na kama nimekosea niko tayari kukosolewa!