Ndugu zangu napenda kuchukua nafasi hii kwa mtu yeyote aliye karibu na washauri wakuu wa mambo ya kisiasa hapa Tanzania afikishe ujumbe wangu kwa wahusika. Kwanin nasema mama Maria agombee? 1.watanzania wengi wanampenda kwasababu ya busara,utii,na eshima yake wakati wa uwongo zi wa baba wa taifa. 2.MAMA MARIA NYERERe ndiye mwanamke pekee mwenye mvuto na ataweza kuwa raisi wa kwanza mwanamke tanzania 3.namshauri awe raisi kwa muda wa miaka mitano tu! Kwasababu umri umekwenda sana. 4. Ataweza kutuunganisha upya watanzania wote na kusahau chuki na ubinafsi wetu ktk maswala ya muungano,ukabila,dini, na kisiasa,aliyenacho na asiye nacho. Tafadharini wadau fikirieni kwa makini sana jambo hili kwa maslai ya taifa.