chegreyson
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 974
- 434
mkuu lisu alisema walivyozoe kusema uongo hawawezi kujifunza kusema ukweli akatoa sababu mbalimabali mfano je Mwalimu mamlaka ya kikatiba aliyapata wapi ya kubadili mambo ya tanganyika kuwa ya muungano na watumishi wake? lakin ccm badala ya kujenga hoja kuwa mamlaka aliyapata katika sheria number-------- lakin watu wanakimbilia kusema ametuka sasa kawa mantiki hii unaweza kusema ametukana?[/QU
Usipotoshe kauli ya Lisu ilikuwa thabiti kwamba
Nyerere alizoea vya kunyonga
Nyerere aliishi kwa uongo
Kama sio matusi kwa mtu anayeheshimika ni nini?