Ilikuwa lazima aje kumshuhudia rais wetu mteule kipenzi cha watanzania na wana cc mh. Edward lowassa akiteuliwa na kamati kuu cc usiku huu
Mafisadi wa ccm hawataki kiongozi mwadilifu mama Maria Nyerere ungepumzika nyumbani huko unaenda kutafuta presha bure.
Nasikia kikao kimearishwa mpaka kesho saa nne
akaze moyo,makongoro atachakazwa muda si mrefu,Mama Maria Nyerere amekwisha wasili mji wa Dodoma kushuhudia vikao vya uteuzi vya Chama Cha Mapinduzi [CCM] vinavyoendelea kwenye mji wa Dodoma:
Source: FB Page ya Cyprian Msiba:
Ilikuwa lazima aje kumshuhudia rais wetu mteule kipenzi cha watanzania na wana cc mh. Edward lowassa akiteuliwa na kamati kuu cc usiku huu
Ilikuwa lazima aje kumshudia rais wetu mteule kipenzi cha watanzania na wana cc mh. Edward lowassa akiteuliwa na kamati kuu cc usiku huu
ameshakatwa.
Acha kujijambia mwenywe
ICU kunawasubiri