Najua mama huyu anasoma JF au pengine ni mwana chama kama sio basi jamaa zake mfikishieni kaujumbe haka ,nimemuona leo alipohamaki baada ya LEMA kuomba mwongozo wa spika kuwa inapotokea kiongozi mkuu wa nchi anapotosha umma inakuaje!Hii ilitokana na maelezo ya PM kuhusu mauaji ya ARUSHA NA mgogoro wote wa ARUSHA!
Namna mama alivyohamaki na kumjia juu mtoa hoja kuwa awe na heshima,na kuwa waziri hawezi kudanganya ilinitisha!kwa level yake hamaki kama zile zitamuua kwa presha kwa kuzingatia aina ya wabunge waliopo na changamoto tata zinazoikabili nchi kwa sasa .Namapa ushauri wa bure awatafute wataalamu wa saikolojia wawe wana mtibu na kumshauri .!la sivyo miaka mitano kwake itakuwa mingi na migumu mno!
Akipenda mimi nitampa huduma bure!
Namna mama alivyohamaki na kumjia juu mtoa hoja kuwa awe na heshima,na kuwa waziri hawezi kudanganya ilinitisha!kwa level yake hamaki kama zile zitamuua kwa presha kwa kuzingatia aina ya wabunge waliopo na changamoto tata zinazoikabili nchi kwa sasa .Namapa ushauri wa bure awatafute wataalamu wa saikolojia wawe wana mtibu na kumshauri .!la sivyo miaka mitano kwake itakuwa mingi na migumu mno!
Akipenda mimi nitampa huduma bure!