PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Ikumbukwe kuwa Mbunge mmoja wa cdm = wabunge 30 wa magambaz!
Mama Makinda, jipange sawasawa, unapokea equivalent ya wabunge wapya 30 mwezi huu!
Ushauri wa Bure, hakikisha unakuwa na busara katika kuongoza Bunge, vinginevyo utaamsha presha kabla ya wakati, maana sasa watenda kazi wameongezeka Bungeni!
Mama Makinda, jipange sawasawa, unapokea equivalent ya wabunge wapya 30 mwezi huu!
Ushauri wa Bure, hakikisha unakuwa na busara katika kuongoza Bunge, vinginevyo utaamsha presha kabla ya wakati, maana sasa watenda kazi wameongezeka Bungeni!