Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
na wewe mchinguzi lol!Mwone kwanza zile pua zake kama kiboko! Mama Lwakatale
na wewe mchinguzi lol!Mwone kwanza zile pua zake kama kiboko! Mama Lwakatale
Kumbe hii post tayari ipo, ni ile ya Mama Rwakarare.Hebu elezea mkuu.......nyundo gani hizo, ili tuzijue kama ni nyundo au upupu!!
Hivi huyu mama ana muwakilisha nani huko bungeni?
Mode change headline ili isomeke
"Jamii Forums Yabalaswa Bungeni, Serikali Yaitetea!. Jf yatambulika rasmi kama chombo cha habari cha kijamii!
Sasa kama tukimuona mtu anasinzia kama huyu tukasema ukweli yanakuwa ni matusi???