spika anajibu swali la lwakatare kuhusu mmiliki wa jamiiforums. waziri anadai hamjui mmiliki na kwamba anaweza akawa mtz au sio mtz. Kwamba hapa bongo haujasajiliwa.
Mtandao wa jamii forums wajadiliwa bungeni. Mbunge adai mambo yanayojadiliwa humu ni maudhi. Mbunge ahoji kama serikali ipo tayari kuwabana wanaoandika maneno ya maudhi au uchochezi kwenye mitandao kama hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.