Hata mimi nimeshangaa kumbe huyu mchungaji naye anaijua JF! siajabu ana fake ID na kuchangia labda anachangia humu
Tatizo letu ni Ubishi JF haitakiwi na Magambaz
hili swala la umiliki mbona ilisha wekwa hadharani siku mingi na inajulikana nani hasa mmiliki wake au ndi wanataka tu wapoteze mda kujadili mambo mengine na kuacha mambo muhimu yanayo gusa taifa kwa ujumla.
Hata mimi nimeshangaa kumbe huyu mchungaji naye anaijua JF! siajabu ana fake ID na kuchangia labda anachangia humu
Hata mimi nimeshangaa kumbe huyu mchungaji naye anaijua JF! siajabu ana fake ID na kuchangia labda anachangia humu
Kama kuna siku magamba watakua wamekosea step ni kufunga JF maana kitakochokuja kitakuwa moto zaidi ya JF.