Mama Lwakatare acha ulaghai

Mlaghai sana huyo mama, amaetumia dini kujipatia mali....kwani atakwenda nazo kaburini? Wote watatoa accountability mbele za Mungu na huko hakuna favors....
 
mama mjasiriamali wa ukweli
ukiwa na kipaji cha kuongea na kujenga hoja hakuna haja ya kugombea ubunge wewe fungua kanisa -- inalipa saana.

Ila kuwa makini siku ya mwisho mambo yote hadharani.
 
Muacheni Mtumishi Mchungaji Kiongozi Dr. Getrude Mpangalile Rwakatare ajiachie na Fedha zetu za Sadaka! Alamba alamba tena! Am! Am! Am! Alamba alamba tena! Am! Am! Am!
 
Lakini nao Bima walimuuzia kwa kigezo cha watoto yatima? kwani BIMA ni shirika la watoto yaima? hapa kama kudanganya tuanzie m,bali tusianzie kwake. Mimi mtu akijiita mlokole anikalie mbali kabisa nawepa kuchapa vibao maana wanaibia maskini mali na wake zao.

Mlaghai sana huyo mama, amaetumia dini kujipatia mali....kwani atakwenda nazo kaburini? Wote watatoa accountability mbele za Mungu na huko hakuna favors....
 
Huyu mama sio mtumishi.Anachofanya ni usanii ule ule tuliouzoea wa Mzee wa upako,Mwingira,Vernon,akina Kakobe nk.Mwisho wao ni jehanam ya moto.
Mama Lwakatare kwa kutumia ulaghai na kofia ya kuwasaidia watoto yatima aliuziwa nyumba za shirika la bima pale tabata Bima.

Alidanganya kuwa anataka kufungua kituo cha watoto yatima ili auziwe kwa bei bwerere. Alichofanya baada ya kuuziwa ni kuchukua watoto kumi wa ndugu zake na kuwaweka pale kwa muda wa miaka miwili kisha akawarudisha makwao. Kwa sasa anataka kufanya lile eneo kuwa chuo kikuu cha st Marys.

Wadau hebu niambieni kuna chembe ya Mungu ndani ya mama huyu?
 
Hivi shirika la Bima kumbe linauza viwanja kwa wanaotoa huduma kwa yatima? Nionyesheni kiwanja kingine cha Bima hapa mujini nikawaambie na mimi waniuzie!
 
:A S embarassed: hawa ndio wale ambao bwana atawatimua siuku watakayomwambia walinena kwa jina lake na kuponya wagonjwa.:lol:
 
Huyu mama sio mtumishi.Anachofanya ni usanii ule ule tuliouzoea wa Mzee wa upako,Mwingira,Vernon,akina Kakobe nk.Mwisho wao ni jehanam ya moto.


Mbona hujamalizia orodha ya hao unaowaita "wasanii", badala yake unaweka tu "n.k."? Ngoja nikusaidie. Na Papa Benedict XVI, na Kadinali Pengo, na Malasusa, na Mokiwa, na Gamanywa, na Mtokambali, na Kulola, na Mufti Shaaban bin Simba, na "Nabii" TB Joshua, na Mwakasege, na Gwajima, na Ndegi.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom