Pole sana. Anakula chakula gani? Kuna baadhi ya vyakula vinavyosaidia kwa mama anayenyonyesha. Jaribu kumpatia uji wa ulezi, supu ya nyama ya ng'ombe, mbuzi, au kuku, na hata uji wa mahindi kama ulezi unakuwa shida kupata.Mke wangu alijifungua tar 6/01/2018 mtoto wa kiume shida amekuwa na changamoto ya kukoswa maziwa ya kutosha kunyonyesha mtoto.
Afanyeje ili kupata maziwa ya kutosha kumnyonyesha mtoto?
Supu ya mbuzi anakunya kila asubuhi, chakula kingine ni kawaida tu ugali nyama /samaki/maharage/mbogamboga na matunda. Usiku wali akiadilisha ndiziPole sana. Anakula chakula gani? Kuna baadhi ya vyakula vinavyosaidia kwa mama anayenyonyesha. Jaribu kumpatia uji wa ulezi, supu ya nyama ya ng'ombe, mbuzi, au kuku, na hata uji wa mahindi kama ulezi unakuwa shida kupata.
Hata hivyo, kuna baadhi ya kina mama wanakuwa na maziwa kidogo (hayatoshelezi kwa mtoto). Hivyo msione vibaya kumwanzisha mtoto maziwa ya chupa. Ulizeni ushauri wa wataalamu wa afya juu ya hilo.
Asante sana.Azingatie lishe bora ahakikishe anashiba vizuri. Anywe maji na juisi kwa wingi haswa juisi ya carrot. Anywe uji, kama ni wa mahindi anaweza kuweka pilipili manga iliyosagwa.
Aepukane na msongo wa mawazo, msongo wa mawazo pia huchangia maziwa kua machache. Apate muda wa kupumzika na amnyonyeshe mtoto mara kwa mara hii husaidia uzalishwaji wa maziwa kuongezeka.
Pamoja na hayo hapo juu pia mtafutie tende awe anakula mara kwa mara.Pole sana. Anakula chakula gani? Kuna baadhi ya vyakula vinavyosaidia kwa mama anayenyonyesha. Jaribu kumpatia uji wa ulezi, supu ya nyama ya ng'ombe, mbuzi, au kuku, na hata uji wa mahindi kama ulezi unakuwa shida kupata.
Hata hivyo, kuna baadhi ya kina mama wanakuwa na maziwa kidogo (hayatoshelezi kwa mtoto). Hivyo msione vibaya kumwanzisha mtoto maziwa ya chupa. Ulizeni ushauri wa wataalamu wa afya juu ya hilo.
ale kwa wingi mbegu za mabogaMke wangu alijifungua tar 6/01/2018 mtoto wa kiume shida amekuwa na changamoto ya kukoswa maziwa ya kutosha kunyonyesha mtoto afanyeje ili kupata maziwa ya kutosha kumnyonyesha mtoto?
Chukua uwatu 100gm chemsha kwa maji lita moja na nusu kisha anywe nusu kikombe kutwa mara 3 siku 14, pia atie pili pili manga katika uji wakeMke wangu alijifungua tar 6/01/2018 mtoto wa kiume shida amekuwa na changamoto ya kukoswa maziwa ya kutosha kunyonyesha mtoto afanyeje ili kupata maziwa ya kutosha kumnyonyesha mtoto?