Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Akichangia muda huu kwenye kamati ya Miundombinu ameilaumu serikali kwa kuiachia TBS iendelee kuruhusu uingizaji wa FAKE LUBRICANTS ambazo zimezagaa nchini zikiuzwa bei chee
Hii hutuletea majanga yafuatayo
Watanzania kwa kupenda bure basi tunaumia zaidi pasipo kujua!
Tubadilike!
Hongera Mama Anna Kilango Malecela kwa uzungumzia hoja zenye maslahi ya nchi!
Hii hutuletea majanga yafuatayo
- Kuua magari ya wananchi
- Kuua uchumi wa nchi kwa kutumia pesa za kigeni kununua vipuri
- Kukosa mapato ya kodi ya uingizaji wa bidhaa fake
- Taifa kuwa dampo la bidhaa takataka
Watanzania kwa kupenda bure basi tunaumia zaidi pasipo kujua!
Tubadilike!
Hongera Mama Anna Kilango Malecela kwa uzungumzia hoja zenye maslahi ya nchi!