Salas
JF-Expert Member
- Feb 15, 2009
- 382
- 82
Mpiga debe ambaye pia ni mke wa rais wa Tanzania ameingia katika simanzi ya aina yake pale idadi ya watu waliohudhuria kampeni alizokuwa akiziendesha katika ukumbi wa kibo kuzidiwa na wale walihudhuria kwenye promotion ya balimi ambazo zilifanyika katika ukumbi wa website ambao uko karibu na ukumbi huo.
Mama huyo akiwa anapaza sauti za chagua CCM mara kwa mara (huenda alisahau kwamba mumewe kauthibitishia umma wa watanzania kwamba urais ni swala la kifamilia) bora hata angekuwa anasema mchague familia yetu.
Wachilia mbali hayo yaliyo jiri, nilijaribu kujisogeza kwenye baa za karibu ili niweze kung'amua watu wanajua ni nini kinachoendelea la hasha wanasema tumeona magari ya serikali yanapita na mgombea ubunge wa ccm tu nadhani ni kampeni ya kawaida hapo kwenye ukumbi na watu sio wengi, nilielezwa na muhudumu mmoja wa faith bar.
Ninaogopa fikra zangu ila ninaamini hizi gharama zinazotumika katika hii familia kutafuta urais wa kifamilia bora zingehifadhiwa kwa ajili ya kuandaa kustaafu kwa mheshimiwa huyu na familia yake.
Nachelea kusema ndio huyu mrithi wa nyerere au ni mtarajie mwingine go slaa go slaa neema ya Mungu iwe juu yako na ulinzi wa malaika wa bwana wanao ilinda bustani ya edeni wa kuzingira tuko mbele yako kwa maisha yetu, hata nikipigwa bomu mimi ni mmoja ila maelfu wanao kufa kila siku kwa magonjwa ya kuzuilika, mamia wanaopata ukimwi kila siku kwa sababu ya kukata tamaa kwa ajili ya ugumu wa maisha wataishi.
Nyerere alitembea kwa baiskeli na punda hakuwa mwenyewe, sisi tuko nawe hata ukamilifu wa dahari.
Mungu tudumishie amani yetu, na upendo wetu pasipo kujali udini wala ukabila sisi ni ndugu na afrika ni moja.
Mwaka huu nitasafiri kwa gharama isiyo pungua laki 2 kwenda kupiga kura ya mbunge na rais na ninamjua rais wangu na mbunge wangu.
Mama huyo akiwa anapaza sauti za chagua CCM mara kwa mara (huenda alisahau kwamba mumewe kauthibitishia umma wa watanzania kwamba urais ni swala la kifamilia) bora hata angekuwa anasema mchague familia yetu.
Wachilia mbali hayo yaliyo jiri, nilijaribu kujisogeza kwenye baa za karibu ili niweze kung'amua watu wanajua ni nini kinachoendelea la hasha wanasema tumeona magari ya serikali yanapita na mgombea ubunge wa ccm tu nadhani ni kampeni ya kawaida hapo kwenye ukumbi na watu sio wengi, nilielezwa na muhudumu mmoja wa faith bar.
Ninaogopa fikra zangu ila ninaamini hizi gharama zinazotumika katika hii familia kutafuta urais wa kifamilia bora zingehifadhiwa kwa ajili ya kuandaa kustaafu kwa mheshimiwa huyu na familia yake.
Nachelea kusema ndio huyu mrithi wa nyerere au ni mtarajie mwingine go slaa go slaa neema ya Mungu iwe juu yako na ulinzi wa malaika wa bwana wanao ilinda bustani ya edeni wa kuzingira tuko mbele yako kwa maisha yetu, hata nikipigwa bomu mimi ni mmoja ila maelfu wanao kufa kila siku kwa magonjwa ya kuzuilika, mamia wanaopata ukimwi kila siku kwa sababu ya kukata tamaa kwa ajili ya ugumu wa maisha wataishi.
Nyerere alitembea kwa baiskeli na punda hakuwa mwenyewe, sisi tuko nawe hata ukamilifu wa dahari.
Mungu tudumishie amani yetu, na upendo wetu pasipo kujali udini wala ukabila sisi ni ndugu na afrika ni moja.
Mwaka huu nitasafiri kwa gharama isiyo pungua laki 2 kwenda kupiga kura ya mbunge na rais na ninamjua rais wangu na mbunge wangu.