Mama katili kuliko wote bungeni!!!!!

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Jamani naomba nianze na huyu ,ila naomba wabunge mliochaguliwa msikubali kuwa watumwa kama mashetani walioondoka ,

1)anna makinda
 
Umemfagilia vizuri sana. Ataliongoza bunge vizuri kwa kasii na viwango vilivyomshinda 6
 
Hakuna mwanamke katili ila kuna Wanaume wasio waadilifu kwenye maadili ya uogozi wa kifamilia nk

... Mbele ya mwanaume ..NOBLE, FULL OF CHARACTER, SENSIBLE and MEANINGFULL yaani MAADILI KAMILI ...hasimami mwanamke katili ..akasima kidedea!

...mwanaume asiye na maadili ni fisadi katika ngazi zote..! Hadi kuruhusu nguvu hasi ndani ya mwanamke kujitokeza na kutwaa utawala!!

.... si fikiri Anna Makinda kazungu na nguvu sahihi ...tusubiri tuone..!!
 
Jamani naomba nianze na huyu ,ila naomba wabunge mliochaguliwa msikubali kuwa watumwa kama mashetani walioondoka ,

1)anna makinda
Anna Makinda anaweza kuwa spika mzuri tu! kama amesukumwa na dhamira yake kuomba nafasi hiyo nyeti sana!Lakini kama amesukumwa na nguvu za mafisadi ambao tangu mwanzo wameonyesha nia yao ya kuweka fisadi laoo! Basi mama huyu ni vurugu tupu ndani ya Bunge lenye heshima yake katika Africa Mashariki.
 
Jamani naomba nianze na huyu ,ila naomba wabunge mliochaguliwa msikubali kuwa watumwa kama mashetani walioondoka ,

1)anna makinda


Thread yako haina maelezo yanayofanana na heading, hujaeleza huo ukatili wala details za kumwingia mtu akilini. Kimsingi ni kama umekurupuka tu bila kufukiri kwa umakini juu ya unachotaka kuandika.
Please kama you mean it give details
 
Huyu mama alipata ujasiri wapi wa kwenda kugombea kiti cha bosi wake?
 
-Kwa hakika Mh. Anna Makinda ndiye the next Spika, mafisadi chaguo lao lilikuwa Mh. Anna Abdallah wamepiga chini, bunge lijalo litakuwa saafi sana maana utakuwa uwanja wa mapambano ya wanaotaka Urais 2015, mawili kuna uwezekano wa sisi wananchi ku-benefit big time na hiyo vita, au mwenye nguvu mmoja akawateka wote na kuzima makelele yote huko,

- Otherwise, Mh. Anna Makinda si chagua la mafisadi they know better jinsi anavyowatwanga kule CC! na jinsi walivyohangaika sana kumzuia asirudi bungeni kule jimboni kwake!


William.
 
<font size="3"><font color="blue">-Kwa</font></font> <font size="3"><font color="blue">hakika Mh. Anna Makinda ndiye the next Spika, mafisadi chaguo lao lilikuwa Mh. Anna Abdallah wamepiga chini, bunge lijalo litakuwa saafi sana maana utakuwa uwanja wa mapambano ya wanaotaka Urais 2015, mawili kuna uwezekano wa sisi wananchi ku-benefit big time na hiyo vita, au mwenye nguvu mmoja akawateka wote na kuzima makelele yote huko, <br />
<br />
- Otherwise, Mh. Anna Makinda si chagua la mafisadi they know better jinsi anavyowatwanga kule CC! na jinsi walivyohangaika sana kumzuia asirudi bungeni kule jimboni kwake!</font></font><br />
<br />
<font size="4"><font color="red">William</font></font>.
<br />
<br />
Kama haya unayoyasema mkulu ni kweli basi itakuwa vizuri,lakini mama anatakiwa apunguze ubabe!
 
-Kwa hakika Mh. Anna Makinda ndiye the next Spika, mafisadi chaguo lao lilikuwa Mh. Anna Abdallah wamepiga chini, bunge lijalo litakuwa saafi sana maana utakuwa uwanja wa mapambano ya wanaotaka Urais 2015, mawili kuna uwezekano wa sisi wananchi ku-benefit big time na hiyo vita, au mwenye nguvu mmoja akawateka wote na kuzima makelele yote huko,

- Otherwise, Mh. Anna Makinda si chagua la mafisadi they know better jinsi anavyowatwanga kule CC! na jinsi walivyohangaika sana kumzuia asirudi bungeni kule jimboni kwake!


William.

Hivi ni Anne Makinda au Anna Makinda? hii vowel ya mwisho seems to be confusing an "a" or "e"?

Hivi tofauti ya Anne Makinda na Anna Abdallah ni ipi? Bird of the same feather!

Hivi "outstanding performance" ya bunge inategemea nani ni spika au uwezo wa wabunge?
 
'Propaganda machine ya CCM' inataka kutuaminisha kwamba Makinda si chaguo la mafisadi..lol

Hata mtoto mdogo atakucheka.
 
Jamani naomba nianze na huyu ,ila naomba wabunge mliochaguliwa msikubali kuwa watumwa kama mashetani walioondoka ,

1)anna makinda

Mimi nakwambia Anna Makinda ni katili (rude), A woman with NO respect. Ni mbinafsi. Hana chembe ya respect kwa wabunge hususan wapinzani. Mbunge hajamaliza kusema kishamkatiza (with rude comments). Anachojua yeye ni kuibeba serikali tu. Kazi ipo huko bungeni kama atashinda hicho kiti cha uspika.
 
Sote tunajua SS pamoja na udhaifu wake at least alikuwa na courage ya kuruhusu mijadala ya Richmond na mambo ya chini ya kapeti ya Rais mstaafu Mkapa kujadiliwa bungeni, na sote tunajua pindi SS alipokosekana kwene kiti chake, wasaidizi wake *Akiwemo Makinda* walivooendesha mambo hovyohovyo kuilinda serikali badala ya kuwa refarii na kuzuia udhaifu wa serikali na CCM usizungumzwe bungeni..sasa leo hii Makinda awe si chaguo la mafisadi is a ridiculous assertion.
 
simpendi huyu mama.....lkn umetumia viwango gani kusema kama ni katili?
tbs au vya kimataifa?

Ramli! teh teh teh teh!!! Simpendi kabisa huyu mwanamke, ataliendesha bunge kulinda maslahi ya VIBAKA!!!!
 
-Kwa hakika Mh. Anna Makinda ndiye the next Spika, mafisadi chaguo lao lilikuwa Mh. Anna Abdallah wamepiga chini, bunge lijalo litakuwa saafi sana maana utakuwa uwanja wa mapambano ya wanaotaka Urais 2015, mawili kuna uwezekano wa sisi wananchi ku-benefit big time na hiyo vita, au mwenye nguvu mmoja akawateka wote na kuzima makelele yote huko,

- Otherwise, Mh. Anna Makinda si chagua la mafisadi they know better jinsi anavyowatwanga kule CC! na jinsi walivyohangaika sana kumzuia asirudi bungeni kule jimboni kwake!


William.

nampenda na kumuunga mkono makinda lakini huu ni uzushi na hisia binafsi
 
-Kwa hakika Mh. Anna Makinda ndiye the next Spika, mafisadi chaguo lao lilikuwa Mh. Anna Abdallah wamepiga chini, bunge lijalo litakuwa saafi sana maana utakuwa uwanja wa mapambano ya wanaotaka Urais 2015, mawili kuna uwezekano wa sisi wananchi ku-benefit big time na hiyo vita, au mwenye nguvu mmoja akawateka wote na kuzima makelele yote huko,

- Otherwise, Mh. Anna Makinda si chagua la mafisadi they know better jinsi anavyowatwanga kule CC! na jinsi walivyohangaika sana kumzuia asirudi bungeni kule jimboni kwake!


William.

Tulia Brother, we hujui kitu! Huyu mama aliandaliwa na VIBAKA walewale, MANYANG'AU walewale!! Anna Abdallah + Anne Makinda = Mvinyo ule ule!!! Heri tukajua kuwa Bunge linaongozwa na FISADI anayejua kuwa anajua sisi tunajua, kuliko kuongozwa na mtu aliyewekwa na MAFISADI ambaye sie hatujui kama ni FISADI, na yeye akijua kuwa hatujui!!! Ah! Inauma!!
 
-Kwa hakika Mh. Anna Makinda ndiye the next Spika, mafisadi chaguo lao lilikuwa Mh. Anna Abdallah wamepiga chini, bunge lijalo litakuwa saafi sana maana utakuwa uwanja wa mapambano ya wanaotaka Urais 2015, mawili kuna uwezekano wa sisi wananchi ku-benefit big time na hiyo vita, au mwenye nguvu mmoja akawateka wote na kuzima makelele yote huko,

- Otherwise, Mh. Anna Makinda si chagua la mafisadi they know better jinsi anavyowatwanga kule CC! na jinsi walivyohangaika sana kumzuia asirudi bungeni kule jimboni kwake!


William.
I totally disagree...kama ni hivyo kwanini aende kuchukua form za kugombani kiti cha bosi wake...?huyu mama hana uwezo wakuongoza hili bunge anaongea na wabunge kama mahousegirl wake nyumbani...'wee kaa chini'...'hatuko uko bwana umekosea'... 'ebu nyamaza'
Labda Tibaijuka angekua ideal candidate
 
ukatilin gani alio nao mpaka um lebo hivo mama wa watu?

Kitendo chake cha kugombea nafasi ya Boss wake kinatupa somo kuwa hawakuwa wamoja walipokuwa wanafanyakazi katika ofisi ya spika.

Kwa sababu kwa akili ya kawaida kabisa, huwezi kabisa kugombea nafasi ya Boss wako kama mlikuwa mnaelewana. Nafikiri ndio sababu kubwa ya kusema kuwa huyu mama ni katili
 
11_10_a6fyw5.jpg


Mzee Ndesa keshamtuliza tayari
 
Back
Top Bottom