Anna Makinda anaweza kuwa spika mzuri tu! kama amesukumwa na dhamira yake kuomba nafasi hiyo nyeti sana!Lakini kama amesukumwa na nguvu za mafisadi ambao tangu mwanzo wameonyesha nia yao ya kuweka fisadi laoo! Basi mama huyu ni vurugu tupu ndani ya Bunge lenye heshima yake katika Africa Mashariki.Jamani naomba nianze na huyu ,ila naomba wabunge mliochaguliwa msikubali kuwa watumwa kama mashetani walioondoka ,
1)anna makinda
Jamani naomba nianze na huyu ,ila naomba wabunge mliochaguliwa msikubali kuwa watumwa kama mashetani walioondoka ,
1)anna makinda
<br /><font size="3"><font color="blue">-Kwa</font></font> <font size="3"><font color="blue">hakika Mh. Anna Makinda ndiye the next Spika, mafisadi chaguo lao lilikuwa Mh. Anna Abdallah wamepiga chini, bunge lijalo litakuwa saafi sana maana utakuwa uwanja wa mapambano ya wanaotaka Urais 2015, mawili kuna uwezekano wa sisi wananchi ku-benefit big time na hiyo vita, au mwenye nguvu mmoja akawateka wote na kuzima makelele yote huko, <br />
<br />
- Otherwise, Mh. Anna Makinda si chagua la mafisadi they know better jinsi anavyowatwanga kule CC! na jinsi walivyohangaika sana kumzuia asirudi bungeni kule jimboni kwake!</font></font><br />
<br />
<font size="4"><font color="red">William</font></font>.
-Kwa hakika Mh. Anna Makinda ndiye the next Spika, mafisadi chaguo lao lilikuwa Mh. Anna Abdallah wamepiga chini, bunge lijalo litakuwa saafi sana maana utakuwa uwanja wa mapambano ya wanaotaka Urais 2015, mawili kuna uwezekano wa sisi wananchi ku-benefit big time na hiyo vita, au mwenye nguvu mmoja akawateka wote na kuzima makelele yote huko,
- Otherwise, Mh. Anna Makinda si chagua la mafisadi they know better jinsi anavyowatwanga kule CC! na jinsi walivyohangaika sana kumzuia asirudi bungeni kule jimboni kwake!
William.
Jamani naomba nianze na huyu ,ila naomba wabunge mliochaguliwa msikubali kuwa watumwa kama mashetani walioondoka ,
1)anna makinda
simpendi huyu mama.....lkn umetumia viwango gani kusema kama ni katili?
tbs au vya kimataifa?
-Kwa hakika Mh. Anna Makinda ndiye the next Spika, mafisadi chaguo lao lilikuwa Mh. Anna Abdallah wamepiga chini, bunge lijalo litakuwa saafi sana maana utakuwa uwanja wa mapambano ya wanaotaka Urais 2015, mawili kuna uwezekano wa sisi wananchi ku-benefit big time na hiyo vita, au mwenye nguvu mmoja akawateka wote na kuzima makelele yote huko,
- Otherwise, Mh. Anna Makinda si chagua la mafisadi they know better jinsi anavyowatwanga kule CC! na jinsi walivyohangaika sana kumzuia asirudi bungeni kule jimboni kwake!
William.
-Kwa hakika Mh. Anna Makinda ndiye the next Spika, mafisadi chaguo lao lilikuwa Mh. Anna Abdallah wamepiga chini, bunge lijalo litakuwa saafi sana maana utakuwa uwanja wa mapambano ya wanaotaka Urais 2015, mawili kuna uwezekano wa sisi wananchi ku-benefit big time na hiyo vita, au mwenye nguvu mmoja akawateka wote na kuzima makelele yote huko,
- Otherwise, Mh. Anna Makinda si chagua la mafisadi they know better jinsi anavyowatwanga kule CC! na jinsi walivyohangaika sana kumzuia asirudi bungeni kule jimboni kwake!
William.
I totally disagree...kama ni hivyo kwanini aende kuchukua form za kugombani kiti cha bosi wake...?huyu mama hana uwezo wakuongoza hili bunge anaongea na wabunge kama mahousegirl wake nyumbani...'wee kaa chini'...'hatuko uko bwana umekosea'... 'ebu nyamaza'-Kwa hakika Mh. Anna Makinda ndiye the next Spika, mafisadi chaguo lao lilikuwa Mh. Anna Abdallah wamepiga chini, bunge lijalo litakuwa saafi sana maana utakuwa uwanja wa mapambano ya wanaotaka Urais 2015, mawili kuna uwezekano wa sisi wananchi ku-benefit big time na hiyo vita, au mwenye nguvu mmoja akawateka wote na kuzima makelele yote huko,
- Otherwise, Mh. Anna Makinda si chagua la mafisadi they know better jinsi anavyowatwanga kule CC! na jinsi walivyohangaika sana kumzuia asirudi bungeni kule jimboni kwake!
William.
ukatilin gani alio nao mpaka um lebo hivo mama wa watu?