Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,445
- 7,813
Mama mzazi wa Marehemu Stephen Kanumba, Flora Mtegoa baada ya hukumu ya Lulu ambae amehukumiwa kwa kifo cha mwanae ameonekana na furaha mpaka kujawa machozi.
Mama Kanumba amesema anamshukuru Mwenyezi Mungu, Mahakama na serikali na kudai akitoka mahakamani moja kwa moja anaenda makaburini.
Mama Kanumba amesema anamshukuru Mwenyezi Mungu, Mahakama na serikali na kudai akitoka mahakamani moja kwa moja anaenda makaburini.