Mama anaona haki imetendeka
Najua maumivu yakufiwa na maumivu ya ndugu au jamaa kufungwa jela,lakini kwa hukumu hii ni ndogo sana,Lulu alitakiwa ale mvua si chini ya miaka 15 hivi
Mama anaona haki imetendeka
Subiri auwawe ndugu yako ndiyo ujue kama kumfunga muuaji Kuna faida au la!Lulu kufungwa faida gani kapata sasa uyo maza!
Subiri auwawe ndugu yako ndiyo ujue kama kumfunga muuaji Kuna faida au la!Lulu kufungwa faida gani kapata sasa uyo maza!
Neno "afuhi" ndio muktadha wa majibu yangu.Ngoja nijiaminishe kuwa kuna hukuwa umedhamiria kuandika ulichokiandika katika muktadha wa ubinaadamu......
Neno "afuhi" ndio muktadha wa majibu yangu.
Hakuna cha kufurahia mwanao kuwa kaburini hata kama aliyemuua naye atauliwa! Hakuna cha mama kufurahia.
Ninadhani wamechukulia umri na pia hili ni kosa lake la kwanzaNajua maumivu yakufiwa na maumivu ya ndugu au jamaa kufungwa jela,lakini kwa hukumu hii ni ndogo sana,Lulu alitakiwa ale mvua si chini ya miaka 15 hivi
Ninadhani wamechukulia umri na pia hili ni kosa lake la kwanza
Bongo movie umri hausogeiKale kakubwa.... Kama 2012 kalikua na driving license means she was above 18yrs... Huwezi pata license kama uko chini ya 18yrs,la sivyo kama she was under 18yrs,aliyetoa license kwa Lulu anatakiwa kua Segerea pia
miaka miwili toa miezi minne ya gerezani,hapo anakaaa mwaka huu na miezi kadhaa,anatokaDecember kuna msamaha wa rais magu anavyo penda kiki ata mwacha kweliii
Maskini....pole yakeMama Lulu hawezi hata kuembea, miguu haina nguvu kabisa
Huna facts!!! Unashindwa kuutetea upuuzi wakohv kumpoteza mwanao na yule wakukaa miaka 2 ndan inakusaidia nn wewe uliempoteza mwanao mazima !umesoma hesabu gan wewe !
Bongo movie umri hausogei
Lulu ni 23 years old by now!!! Kwa anaebisha anifate DM ,,,Ila tatizo ni mfupi tu ndio maana watu wanaumuona mdogo,,Kale kakubwa.... Kama 2012 kalikua na driving license means she was above 18yrs... Huwezi pata license kama uko chini ya 18yrs,la sivyo kama she was under 18yrs,aliyetoa license kwa Lulu anatakiwa kua Segerea pia
Kweli kabisa wazazi wote wawili wameumizwa na mkasa huu,kila mmoja kwa namna yake.Ni rahisi sana kulielezea jambo ukiwa nje ya maudhui yake.....
Mimi kwa uelewa wangu na kwa ufahamu wangu.....nakuombea kwa Mungu usipitie kipindi kama anachopitia Mama Kanumba wakati huu
Au kama anavyojihisi Mzazi wa Lulu....
Ni mambo ambayo ni mepesi kuyaongea lakini si kwenye kuyatenda......