MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Wewe ni mtetea tu huna lolote!Mama lazima tumpinge, anapeleka mchi sehemu siko.
Wewe ni mtetea tu huna lolote!Mama lazima tumpinge, anapeleka mchi sehemu siko.
Speech ya leo ya mama imegeuza milengo ya watanzania upside down. Wale ccm kindakindaki wa humu JF wafia chama wa ccm wamekuwa wapinzani wa mama, na wale wapinzani wa ccm wa siku zote wamekuwa wapenzi na washabiki wa mama.
Binafsi pia nimekuwa mshabiki na mpenzi wa mama. Naomba mnielekeze utaratibu wa kuwa mwanachama wa ccm. Nilikuwa na mpango wa kugombea urais 2025 lakini nasema mama anatosha. Nitampa tu madesa yangu ayafanyie kazi kama itampendeza. Nataka nimuunge mkono mama kwa vitendo. Tanzania yenye furaha italetwa na mama. Nani kama mama? Mama ukimzingua mnazinguana.
Anamzika mwendazake kifo cha piliWanamuona kama anawaharibia.
Anafukunyua madudu ya mwendazake.
Kawapokonya utukufuHivi Mama kawakosea nini Mataga??
Kapindua meza sasa hawajui hatma yao, walizoea vya kunyonga (haram) vya kuchinja (halali) wataviweza?!Hivi Mama kawakosea nini Mataga??
Una vinemelea vya udiktetaMama lazima tumpinge, anapeleka mchi sehemu siko.
Wee ndio taga wahedi, taga mayai basi tukuone?Hapo ndo mlipoambiwa CCM itatawala milele na inawezekana. CCM wapo na mama bega kwa bega sema kwasababu wapinzani hawataki kuonekana wapo upande mmoja na CCM ndo mnalazimisha ionekane hivyo. CCM wamemaliza msiba wa JPM tayari wamekuwa wamoja. 99.9% ya wanaoongoza serikali wakiongozwa na Mama Samia ni CCM na mbaya zaidi 98% ni wateule wa JPM ,Sasa ukisema wapinzani wanaisapoti serikali ya Mama Samia lakini hawasapoti ilani ya CCM si utaonekana chizi!????... Tukubali tukatae wapinzani wa Tanzania hawajui wanataka nini na wanasimamia nini?, Wanaendeshwa na matukio tu. Mtu Kama Lissu alikuwa anapaishwa na Magufuli kuwa hai, baada ya JPM kufariki hana sera yoyote, ali survive kwa kumkandia JPM na serikali yake basi.
Upumbavu mtupu....tena kwa ujinga ulioandika kwa vyovyote utakuwa shabiki wa simbaHapo ndo mlipoambiwa CCM itatawala milele na inawezekana. CCM wapo na mama bega kwa bega sema kwasababu wapinzani hawataki kuonekana wapo upande mmoja na CCM ndo mnalazimisha ionekane hivyo. CCM wamemaliza msiba wa JPM tayari wamekuwa wamoja. 99.9% ya wanaoongoza serikali wakiongozwa na Mama Samia ni CCM na mbaya zaidi 98% ni wateule wa JPM ,Sasa ukisema wapinzani wanaisapoti serikali ya Mama Samia lakini hawasapoti ilani ya CCM si utaonekana chizi!????... Tukubali tukatae wapinzani wa Tanzania hawajui wanataka nini na wanasimamia nini?, Wanaendeshwa na matukio tu. Mtu Kama Lissu alikuwa anapaishwa na Magufuli kuwa hai, baada ya JPM kufariki hana sera yoyote, ali survive kwa kumkandia JPM na serikali yake basi.
Hivi Mama kawakosea nini Mataga??
Mimi CDM kindaki namshukuru Mungu mkuu kwa kutupatia huyu mama, tuliumizwa mno siku zilizopita.Speech ya leo ya mama imegeuza milengo ya watanzania upside down. Wale CCM kindakindaki wa humu JF wafia chama wa CCM wamekuwa wapinzani wa mama, na wale wapinzani wa ccm wa siku zote wamekuwa wapenzi na washabiki wa mama.
Binafsi pia nimekuwa mshabiki na mpenzi wa mama. Naomba mnielekeze utaratibu wa kuwa mwanachama wa CCM. Nilikuwa na mpango wa kugombea urais 2025 lakini nasema mama anatosha. Nitampa tu madesa yangu ayafanyie kazi kama itampendeza. Nataka nimuunge mkono mama kwa vitendo. Tanzania yenye furaha italetwa na mama. Nani kama mama? Mama ukimzingua mnazinguana.
Vipi ushaanza kumpeleka maombi ya kurudi Yanga? Urudi kwenye nafasi yako ya msemaji uchwara wa timu ya wananchi.Hapo ndo mlipoambiwa CCM itatawala milele na inawezekana. CCM wapo na mama bega kwa bega sema kwasababu wapinzani hawataki kuonekana wapo upande mmoja na CCM ndo mnalazimisha ionekane hivyo. CCM wamemaliza msiba wa JPM tayari wamekuwa wamoja. 99.9% ya wanaoongoza serikali wakiongozwa na Mama Samia ni CCM na mbaya zaidi 98% ni wateule wa JPM ,Sasa ukisema wapinzani wanaisapoti serikali ya Mama Samia lakini hawasapoti ilani ya CCM si utaonekana chizi!????... Tukubali tukatae wapinzani wa Tanzania hawajui wanataka nini na wanasimamia nini?, Wanaendeshwa na matukio tu. Mtu Kama Lissu alikuwa anapaishwa na Magufuli kuwa hai, baada ya JPM kufariki hana sera yoyote, ali survive kwa kumkandia JPM na serikali yake basi.
Kumbuka mama nae alikuwa timu hiyo hiyo ya JPM na ndie alikuwa msaidizi wake mkuu, ila du hata Hapa Kazi Tu kwaheri na sasa ni Kazi Inaendelea.Speech ya leo ya mama imegeuza milengo ya watanzania upside down. Wale CCM kindakindaki wa humu JF wafia chama wa CCM wamekuwa wapinzani wa mama, na wale wapinzani wa ccm wa siku zote wamekuwa wapenzi na washabiki wa mama.
Binafsi pia nimekuwa mshabiki na mpenzi wa mama. Naomba mnielekeze utaratibu wa kuwa mwanachama wa CCM. Nilikuwa na mpango wa kugombea urais 2025 lakini nasema mama anatosha. Nitampa tu madesa yangu ayafanyie kazi kama itampendeza. Nataka nimuunge mkono mama kwa vitendo. Tanzania yenye furaha italetwa na mama. Nani kama mama? Mama ukimzingua mnazinguana.