Mama kabadili upepo. CCM wamegeuka wapinzani wa mama, na wapinzani wamegeuka kuwa wafuasi wa mama

Speech ya leo ya mama imegeuza milengo ya watanzania upside down. Wale ccm kindakindaki wa humu JF wafia chama wa ccm wamekuwa wapinzani wa mama, na wale wapinzani wa ccm wa siku zote wamekuwa wapenzi na washabiki wa mama.

Binafsi pia nimekuwa mshabiki na mpenzi wa mama. Naomba mnielekeze utaratibu wa kuwa mwanachama wa ccm. Nilikuwa na mpango wa kugombea urais 2025 lakini nasema mama anatosha. Nitampa tu madesa yangu ayafanyie kazi kama itampendeza. Nataka nimuunge mkono mama kwa vitendo. Tanzania yenye furaha italetwa na mama. Nani kama mama? Mama ukimzingua mnazinguana.
IMG-20210407-WA0034.jpg
 
Hapo ndo mlipoambiwa CCM itatawala milele na inawezekana. CCM wapo na mama bega kwa bega sema kwasababu wapinzani hawataki kuonekana wapo upande mmoja na CCM ndo mnalazimisha ionekane hivyo. CCM wamemaliza msiba wa JPM tayari wamekuwa wamoja. 99.9% ya wanaoongoza serikali wakiongozwa na Mama Samia ni CCM na mbaya zaidi 98% ni wateule wa JPM ,Sasa ukisema wapinzani wanaisapoti serikali ya Mama Samia lakini hawasapoti ilani ya CCM si utaonekana chizi!????... Tukubali tukatae wapinzani wa Tanzania hawajui wanataka nini na wanasimamia nini?, Wanaendeshwa na matukio tu. Mtu Kama Lissu alikuwa anapaishwa na Magufuli kuwa hai, baada ya JPM kufariki hana sera yoyote, ali survive kwa kumkandia JPM na serikali yake basi.
Wee ndio taga wahedi, taga mayai basi tukuone?
 
Hapo ndo mlipoambiwa CCM itatawala milele na inawezekana. CCM wapo na mama bega kwa bega sema kwasababu wapinzani hawataki kuonekana wapo upande mmoja na CCM ndo mnalazimisha ionekane hivyo. CCM wamemaliza msiba wa JPM tayari wamekuwa wamoja. 99.9% ya wanaoongoza serikali wakiongozwa na Mama Samia ni CCM na mbaya zaidi 98% ni wateule wa JPM ,Sasa ukisema wapinzani wanaisapoti serikali ya Mama Samia lakini hawasapoti ilani ya CCM si utaonekana chizi!????... Tukubali tukatae wapinzani wa Tanzania hawajui wanataka nini na wanasimamia nini?, Wanaendeshwa na matukio tu. Mtu Kama Lissu alikuwa anapaishwa na Magufuli kuwa hai, baada ya JPM kufariki hana sera yoyote, ali survive kwa kumkandia JPM na serikali yake basi.
Upumbavu mtupu....tena kwa ujinga ulioandika kwa vyovyote utakuwa shabiki wa simba
 
Mataga ambacho hawajui mama ana Siri zote jinsi iliyokuwa shida uchafuzi WA 2020.Mama amebalishwa na Tabia ngumu ya Jiwe, amekuwa akiona chuki, uonezi ,mauaji Kwa miaka mitano na Kwa hulka yake ameamua yeye japo ana madaraka nguvu kikatiba hawezi kufanya hivyo. Tabia ya Jiwe ingekuwa haina shida mama angaiendeleza.
Hivi Mama kawakosea nini Mataga??
 
Speech ya leo ya mama imegeuza milengo ya watanzania upside down. Wale CCM kindakindaki wa humu JF wafia chama wa CCM wamekuwa wapinzani wa mama, na wale wapinzani wa ccm wa siku zote wamekuwa wapenzi na washabiki wa mama.

Binafsi pia nimekuwa mshabiki na mpenzi wa mama. Naomba mnielekeze utaratibu wa kuwa mwanachama wa CCM. Nilikuwa na mpango wa kugombea urais 2025 lakini nasema mama anatosha. Nitampa tu madesa yangu ayafanyie kazi kama itampendeza. Nataka nimuunge mkono mama kwa vitendo. Tanzania yenye furaha italetwa na mama. Nani kama mama? Mama ukimzingua mnazinguana.
Mimi CDM kindaki namshukuru Mungu mkuu kwa kutupatia huyu mama, tuliumizwa mno siku zilizopita.
 
unafiki ni sehemu ya utamaduni kwa siasa za kiafrika, umakini unahitajika kuwasikiliza wanasiasa wanapokuwa majukwaani. Wako kama bendera na upepo
 
Hapo ndo mlipoambiwa CCM itatawala milele na inawezekana. CCM wapo na mama bega kwa bega sema kwasababu wapinzani hawataki kuonekana wapo upande mmoja na CCM ndo mnalazimisha ionekane hivyo. CCM wamemaliza msiba wa JPM tayari wamekuwa wamoja. 99.9% ya wanaoongoza serikali wakiongozwa na Mama Samia ni CCM na mbaya zaidi 98% ni wateule wa JPM ,Sasa ukisema wapinzani wanaisapoti serikali ya Mama Samia lakini hawasapoti ilani ya CCM si utaonekana chizi!????... Tukubali tukatae wapinzani wa Tanzania hawajui wanataka nini na wanasimamia nini?, Wanaendeshwa na matukio tu. Mtu Kama Lissu alikuwa anapaishwa na Magufuli kuwa hai, baada ya JPM kufariki hana sera yoyote, ali survive kwa kumkandia JPM na serikali yake basi.
Vipi ushaanza kumpeleka maombi ya kurudi Yanga? Urudi kwenye nafasi yako ya msemaji uchwara wa timu ya wananchi.
 
Speech ya leo ya mama imegeuza milengo ya watanzania upside down. Wale CCM kindakindaki wa humu JF wafia chama wa CCM wamekuwa wapinzani wa mama, na wale wapinzani wa ccm wa siku zote wamekuwa wapenzi na washabiki wa mama.

Binafsi pia nimekuwa mshabiki na mpenzi wa mama. Naomba mnielekeze utaratibu wa kuwa mwanachama wa CCM. Nilikuwa na mpango wa kugombea urais 2025 lakini nasema mama anatosha. Nitampa tu madesa yangu ayafanyie kazi kama itampendeza. Nataka nimuunge mkono mama kwa vitendo. Tanzania yenye furaha italetwa na mama. Nani kama mama? Mama ukimzingua mnazinguana.
Kumbuka mama nae alikuwa timu hiyo hiyo ya JPM na ndie alikuwa msaidizi wake mkuu, ila du hata Hapa Kazi Tu kwaheri na sasa ni Kazi Inaendelea.
 
Back
Top Bottom