mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,281
- 44,816
Anaumwa corona
Kuna kitu unataka kusema ila unaogopa?
Kuna kitu unataka kusema ila unaogopa?
HUYU MAMA HAKUWA NA SHIDA WALA MAJIGAMBO KAMA MAMA KIKWETE LAKINI NASHANGAA WATU HAPA WANAMSANIFU KWELI KUNAWATU NIMASHETANIYule mama hanaga shida masikini
Watu wengi waliopata Cironavirus wameumwa kifamilia zaidi kwa sababu ya kuchanganyika nyumbani.Jana usiku wa manane nikiwa nimelala fofofo nimeota kuwa kuna mtu nisiemjua ambae anadanganya kuwa Corona ni ugonjwa wa mshtuko!
Kwenye sayansi ya kiroho ni kuwa kama kipimo alichokuwa akiwapimia watu wengine ndicho watakacho pimiwa. Rai yangu ni kumwomba mungu rehema angali ipo kabla haijafungwaJoseph mtoto wa rais wa awamu ya tano Hayati John Magufuli amesema mama yake, Janet anaendelea na matibabu baada ya kupata mshtuko kufuatia kifo cha mumewe.
Akizungumza kwa niaba ya familia ya Magufuli wakati wa kongamano la viongozi wa dini, Joseph amesema mama yake hayupo vizuri kiafya lakini anaendelea na matibabu.
“Mama hakuweza kuja kwa sababu ya tatizo la kiafya alipatwa na mshtuko baada ya baba kufariki, yupo anaendelea na matibabu."
"Mama anawashukuru viongozi wa dini na watu wote kwa kuliombea Taifa wakati wote wa msiba na ilikuwa jambo gumu kumpoteza mzazi na kiongozi wa Taifa,” amesema.
Joseph amewasisitiza Watanzania kuendelea kumuomba Mungu ili upendo, amani na mshikamano viendelee kutawala nchini.
MmmhSawa... Lakini naona anaanza kujisogeza kwenye siasa. Asithubutu maana mtoto wa nyoka ni ....
Kwani madikteta huwa hawazikwi au unaongelea kuzikwa kwa namna gani na kumbuka jiwe amekufa akiwa kashika madaraka kama rais ulitaka azikwaje kwanza msiba wenyewe ulitengenezwa kuwa mkubwa kama promo ya shindano la miss Tanzania!!!!!!!Acha maneno ya ajabu dikteta unamjua ww, walienda kumzika waliforciwa
😂😂Wakiombewa na watoto wao inatosha jamani
Nipeni Gwajima.Joseph mtoto wa rais wa awamu ya tano Hayati John Magufuli amesema mama yake, Janet anaendelea na matibabu baada ya kupata mshtuko kufuatia kifo cha mumewe.
Akizungumza kwa niaba ya familia ya Magufuli wakati wa kongamano la viongozi wa dini, Joseph amesema mama yake hayupo vizuri kiafya lakini anaendelea na matibabu.
“Mama hakuweza kuja kwa sababu ya tatizo la kiafya alipatwa na mshtuko baada ya baba kufariki, yupo anaendelea na matibabu."
"Mama anawashukuru viongozi wa dini na watu wote kwa kuliombea Taifa wakati wote wa msiba na ilikuwa jambo gumu kumpoteza mzazi na kiongozi wa Taifa,” amesema.
Joseph amewasisitiza Watanzania kuendelea kumuomba Mungu ili upendo, amani na mshikamano viendelee kutawala nchini.
Mkuu hakuna mtu anamsema vibaya mama Janeth, wote tunamuombea kheri mama yetu & ila pombe ndio tunasema bora imemwagika maana ilikuwa inaharibu taifaHUYU MAMA HAKUWA NA SHIDA WALA MAJIGAMBO KAMA MAMA KIKWETE LAKINI NASHANGAA WATU HAPA WANAMSANIFU KWELI KUNAWATU NIMASHETANI