Uzandiki?Kuna kitu unataka kusema ila unaogopa?
Hahaaahaa,,,Mwambie babaake alikuwa dikteta katili sana, angefikisha miaka kumi madarakani nchi ingenuka damu pande zote.
Thanks God.
Yes...na ndio technique iliyotumikaKufiwa si jambo dogo, na mtu mwenyewe awe wakaribu, mwezi mmoja tu uje kumsimamisha kwenye majukwaa mmm hapana hata kama haumwi lazima asema hivyo